Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 10,811
- 32,485
Leo ndio nimejua maana ya jina lako mkuu😂 Evelyn Salt
Aisee Jolie is something else😅
Aisee Jolie is something else😅
Dah Tenet bhana hiyo physics inagoma inachanganya mno, mara unakimbizwa na gari linalorudi nyuma nyuma, wanajeshi wanapigana vita huku wanarudi nyuma. Yani katikat ya mapigano badala ya kukwepa risasi inayotoka kwenye bunduki unakuwa unakwepa risasi inayorudi kwenye bunduki. Alooo🙌watu wanajua kuumiza vichwa kutengeneza ideaKama hujawahi kuiona itafute enjoy au uchanganyikiwe😁 kama ushaiona si mbaya kuirudia Carleen Mr Q Vincenzo Jr
Seran Depal Angel Nylon
TENET (sci-fi) 2020
Ni movie inayohusu technologia inayoweza kurudisha watu na vitu nyuma
Huku ikienda tofauti na kanuni ya Cause and effect na kuwa effect inaanza kisha cause ila bado iki fuata murphys law "what happend happen" hivyo hakuna kubadilisha kitu kila unachofanya ulipaswa kufanya
The protagonist anapewa mission ya kutafuta ni nani anayesambaza risasi zinazoweza kurudi nyuma ya muda (inverted bullet) pia kuzuia vita atakayokuja itayoweza kuangamiza dunia nzima
Ni movie nzuri kama unapenda movie za sci-fi, ila inahitaji utulivu zaidi na unaangalia zaidi ya mara moja maana inachanganya, ila kama uliangalia series ya dark ukaelewa na kuipenda hii pia utaelewa tu
Christopher Nolan ndio kazi zake hzo ana 1. Inception 2. Memento 3. Insonmia 3. Interstellar 4. Oppenheimer 5. Dark night 6. The prestige n.k jamaa anajua sanaDah Tenet bhana hiyo physics inagoma inachanganya mno, mara unakimbizwa na gari linalorudi nyuma nyuma, wanajeshi wanapigana vita huku wanarudi nyuma. Yani katikat ya mapigano badala ya kukwepa risasi inayotoka kwenye bunduki unakuwa unakwepa risasi inayorudi kwenye bunduki. Alooo🙌watu wanajua kuumiza vichwa kutengeneza idea
Ni kama mambo ya kwenye The Great Flood? Sitaki kuchoka bana 😂Kama hujawahi kuiona itafute enjoy au uchanganyikiwe😁 kama ushaiona si mbaya kuirudia Carleen Mr Q Vincenzo Jr
Seran Depal Angel Nylon
TENET (sci-fi) 2020
Ni movie inayohusu technologia inayoweza kurudisha watu na vitu nyuma
Huku ikienda tofauti na kanuni ya Cause and effect na kuwa effect inaanza kisha cause ila bado iki fuata murphys law "what happend happen" hivyo hakuna kubadilisha kitu kila unachofanya ulipaswa kufanya
The protagonist anapewa mission ya kutafuta ni nani anayesambaza risasi zinazoweza kurudi nyuma ya muda (inverted bullet) pia kuzuia vita atakayokuja itayoweza kuangamiza dunia nzima
Ni movie nzuri kama unapenda movie za sci-fi, ila inahitaji utulivu zaidi na unaangalia zaidi ya mara moja maana inachanganya, ila kama uliangalia series ya dark ukaelewa na kuipenda hii pia utaelewa tu
Huchoki Unachangamsha kichwa😅, kuna moja inaitwa Memento niliangalia mpaka mwisho ila sikuelewa yani matukio yamewekwa tofauti haijulikani mwisho ni wapi mwanzo ni wapi, hivyo nikaacha kama siku mbilli kisha nika google halafu nikaingalia tena 😁Ni kama mambo ya kwenye The Great Flood? Sitaki kuchoka bana 😂
Daah! 😁 muda wa kuangalia movie isiyoeleweka si nisikilize mziki hadi usingizi uje?Huchoki Unachangamsha kichwa😅, kuna moja inaitwa Memento niliangalia mpaka mwisho ila sikuelewa yani matukio yamewekwa tofauti haijulikani mwisho ni wapi mwanzo ni wapi, hivyo nikaacha kama siku mbilli kisha nika google halafu nikaingalia tena 😁
😅 ndio, alafu ina historia nzuri na rating kubwa hivyo niliona ngoja nikomae niangalieUnakuwa unapata utamu gani kuangalia kitu hakieleweki? Au kutokueleweka ndio utamu wenyewe
NaishushaThe Rip kali sana. Nadhani wamemuweka Ben Affleck sababu alifanya vizuri kwenye movie ya Triple Frontier ambayo inafanana kidogo na hii
Ishushe mkuu hutojutiaNaishusha
Ishushe mzee but wakati unaanza kuangalia kuanzia dakika ya kwanza "TRUST NO ONE "Naishusha
Samahani naomba niambie vizuri tafadhali…!View attachment 3532070hii part karibia wapenda movie wote wamefurahi, nmepita uko IG naona wengine wamerecord kabisa wanapiga kelele kwa furaha
Hii Power ni moto wa kuotea mbali🔥🔥🔥
PisiiHii nimemfuata teyana Tylor tu humo ndani ndio kanifanya niitazame😀😃
![]()
Teyana Taylor - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.wikipedia.org
Kwanza jua power zipo book 4Samahani naomba niambie vizuri tafadhali…!
niliacha kutazama Power baada ya Ghost kufa..!
apostle kuna muujiza huku, nini kimetokea..!??