Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,211
- 79,685
Hii nimemfuata teyana Tylor tu humo ndani ndio kanifanya niitazame😀😃Naiangalia hapa iko hot hot 🔥
Hii nimemfuata teyana Tylor tu humo ndani ndio kanifanya niitazame😀😃Naiangalia hapa iko hot hot 🔥
😁 kwani mnafanyiaga nini simu mpaka isimalize masaa 10 ikiwa na chaji?Japo nimeona infinix hot 60 pro+ bado nasema ni simu nzuri tu kwakuwa Mimi mwenyewe sipendi simu Kila baada y saa 5 za matumizi initake nichake Tena halafu niiite simu hiyo Kali.
Hapa iphone user mnakaribishwa kupiga vijembe
Go on…Wewe ni wa kugonga...
Napenda wanavyoitamka Vi.. kibongo bongo ingekuwa aunt Viiii, ukija huku jamuhuri ya kipekee ingekuwa aunt Vieee 😂Mel hawezi kukuacha salama
Penzi lao ni un breakable
Season 5 ndo final
Enjoy mwaya ni series nzuri
Msalimie aunt Vi
Wako vzr, sema hawa ma-detective hmm! Yaani maaskari wako kama ma gangstar! Wana smoke wanavyotaka, na kulewa kazini jamn😂 hayo magari wanayotumia🙌🏾 Huyu ana kipini puani.. they look like a joke🤪 huyu Tayana Tylor sikuhizi naye detective kila movie😅 nilipenda alivyoigiza kwenye The trap na T.I character ilimkaa vzr lakini humu hapana, japo movie ni kali..Kazi kali, main actors wame kichafua mbaya.
Naachaje😅 si ya kina Timberlake, alikuwa na drama sana, anaona aibu kuvua😆 nimeiona japo kitambo sana..
Ndio ila hawako serious aisee huyu hyo character haimfai kabisa kuna movie ya tyler perry pia alikuwa detective, mi nmemzoea kwenye mabangi bangi huko bana😂😂😂 ku-lose temper ni sec moja tu!😬Hii nimemfuata teyana Tylor tu humo ndani ndio kanifanya niitazame😀😃
![]()
Teyana Taylor - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.wikipedia.org
Alivyoona miyeyusho akaja kuitafunaNaachaje😅 si ya kina Timberlake, alikuwa na drama sana, anaona aibu kuvua😆 nimeiona japo kitambo sana..
Kabisa 😀Ndio ila hawako serious aisee huyu hyo character haimfai kabisa kuna movie ya tyler perry pia alikuwa detective, mi nmemzoea kwenye mabangi bangi huko bana😂😂😂 ku-lose temper ni sec moja tu!
Sema kwakuwa ni dirty cops sio mbayaa😂
Data on muuda wote😁 kwani mnafanyiaga nini simu mpaka isimalize masaa 10 ikiwa na chaji?
Infinix enzi hizo hot 6,, utatuambia nini ndio tumeruhusiwa kutumia smartphone 😁😁
Sahivi washafika hot 60!! Siku zinaenda sana
Movie ni tamu kisheinzz🤤 ilinoga sana ndani ya bulletproof sijui millitary V. wamecheza kinomaa🥵Kabisa 😀
DelailaNapenda wanavyoitamka Vi.. kibongo bongo ingekuwa aunt Viiii, ukija huku jamuhuri ya kipekee ingekuwa aunt Vieee 😂
Hawa main characters karibu wote wananifurahisha..
Data wanazima age went, ila sisi age go tuko on 24/7,, na Tv ndio simu 😁Data on muuda wote
Ukijizikia kuzama YouTube telegram TikTok sio mpaka uwashe Tena bando. Muda mwingi kioo Cha simu Kiko on sio kama wamama anaweza asitumie simu yake karibia masaa 2 mpaka 4 ukiangalia kumbe alikuwa anasukwa Rasta baadae akahamia kuangalia komborela hapo betri lazima like na chaji muda wote huo amezima data
Kwa upande wangu Hii ni moja ya best fight scene kuwahi kutokea kwenye action film
Story nzuri. Halafu ni comedy piaNaipa 9.4 nzuri sana
Noma sana, kuna watu wali pigika kinyama.Kwa upande wangu Hii ni moja ya best fight scene kuwahi kutokea kwenye action film
We, umeona bei ya mbatata!? Kwetu ishafika afftatu. Nachokaaa 😒Jua Kali hadi vichwa vinauma January mbaya sana hii chipsi yai tuna uziwa afu tatu
Hao movie zao ujipange kisaikolojia. Ni mwendo wa sex tu na ushoga. Spain, Mexico, Poland...sio poaInaonekana Wa spain wanapenda sana Ngono, Hakuna Ep inapita bila midinyo
Sie tusosuka wala kuangalia Kombolela ndio simu hazikai chaji 🤣🤣🤣Data on muuda wote
Ukijizikia kuzama YouTube telegram TikTok sio mpaka uwashe Tena bando. Muda mwingi kioo Cha simu Kiko on sio kama wamama anaweza asitumie simu yake karibia masaa 2 mpaka 4 ukiangalia kumbe alikuwa anasukwa Rasta baadae akahamia kuangalia komborela hapo betri lazima like na chaji muda wote huo amezima data