Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,954
- 46,559
Episodes ngapi 😁😁Hijack ipo hewani
Episodes ngapi 😁😁Hijack ipo hewani
Namkubali sana Ivar,Mbele mbele huko utakutana na kijana mdogo sana ila ana mambo mazito hadi shetan alikaa mbali IVAR THE BONELESS
Ya kwanza teyari kama kawaida yangu uvumilivu umenishinda nishaicheki tayariEpisodes ngapi 😁😁
Really 😂. Ngoja nikaikagueHijack ipo hewani
Often imitated, never duplicated.
jamaa ana enda kwenye mission halafu ana fa in love, hahaha.Often imitated, never duplicated.
Naangalia Stephen King's 11.23.63 on Netflix hapa.
Inanirudisha kwa Marty McFly saana.
]
Sema bado ina plot holes, lexy n Richard kwann hawakukataa kuwa waoPlot twist ya kwenye hii series ya His and Hers ni level nyingine kabisa.
Huyu bibie sema alikuwa wamoto sana ata ningekuwa Mimi ningeruka nae 😎Kifo cha ragnar kilianzia hapa
Wataleta mambo Yao ya kiwakiHuyu mwamba ndo anaenda kuwa KRATOS kwenye series mpya ya GOD OF WAR , sasa sijui story watachuka kama ilivyo kwenye game lake au wataleta mambo ya THE LAST OF US
bora angebaki na Lagartha, ila huyo msichana alifanya kitu kimoja kizuri hata Ragnar pia alimsifu, maana alijua kabisa ragnar alikuwa hampendi na wapo naye sababu ya ile prophecy kwamba atazaa naye watoto wataofanya mambo makubwa, ila huyu hakuwahi kuwalisha sumu watoto wa ragnar hata siku moja, alikuwa akiwapa story za jinsi baba yao alivyo shujaa na anawapenda, hasa kwa ivar alivyotaka kumtupa, kwa mke mwingine angemrisha sumu mpaka ivar anamchuki baba yakeKifo cha ragnar kilianzia hapa
Hii ni back to the future ? sijawahi kuziona
Huyu bibie ndio maana nilimkubali sanabora angebaki na Lagartha, ila huyo msichana alifanya kitu kimoja kizuri hata Ragnar pia alimsifu, maana alijua kabisa ragnar alikuwa hampendi na wapo naye sababu ya ile prophecy kwamba atazaa naye watoto wataofanya mambo makubwa, ila huyu hakuwahi kuwalisha sumu watoto wa ragnar hata siku moja, alikuwa akiwapa story za jinsi baba yao alivyo shujaa na anawapenda, hasa kwa ivar alivyotaka kumtupa, kwa mke mwingine angemrisha sumu mpaka ivar anamchuki baba yake
Naisubiri kwa hamu sana, nmetoka kuirudia season 1 tena. Ije aiseeONE PEACE SEASON 2 MARCH 10
series ina watoto wazuri ileHuyu bibie ndio maana nilimkubali sana
Sana broh kama yule lagetha sio powa aisee mtoto ukikamata unyayoni unapiga dekio hadi pale k_____series ina watoto wazuri ile
Huyo huyooooooHuyo ndio yule dogo mlemavu aliekula wale mapacha mmoja alikuwa mrusi mwingine alinyonga?