Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 8,407
- 28,836
hii inaonekana nzuri, namna napenda hekaheka..!ππΎBwana mmoja ana saka zake Mali (treasure hunting) kwenye miji iliyo haribiwa. Baadae anapewa misheni ambayo yeye anaenda akijua ni misheni aliyo ambiwa kumbe anajikuta katikati ya vijana kutoka kwa mzee wa ma vodka Russia hapo ndo mtiti unapo anzia. Katika harakati zake hizo anajikuta kwenye karakana Fulani n baadae anagundu kuwa misheni ilikuwa ya kuzuia BOMU lisiangukie mikononi mwa watu wasio husika.
BOMU Hilo kwa mujibu wa story teller anadai yaliundwa mawili tu huku Moja lilitumika miaka mingi iliyo pita na USA kuangamiza miji Fulani huko kwa wavimba macho.
shukrani sana mkuu..!