Series (Special thread)

hii inaonekana nzuri, namna napenda hekaheka..!πŸ™ŒπŸΎ
shukrani sana mkuu..!
 
Eti Vincenzo Jr wewe ndo ungekuwa Joel ungeweza kuishi na Ellie kama binti yako ilhali dunia haieleweki ilivyo?

dosho12 wewe ungeweza hiyo hali kweli?

Mr Q vipi kwa upande wako?

Na wewe Carleen ungeweza kuishi na Joel kama baba yako kwa muda wote huo?

Haki ya nani director amezingua sana aisee, kwanza ni uongo mtupu na kiuhalisia ni jambo lisilowezekana.

Sitaki kuwa mnafki, binafsi nisingeweza aisee πŸ˜‚πŸ™Œ

Khalas πŸ˜‚
 
Inaitwaje?
 
Ningeweza mkuu kumbuka hapo mwanzo pia nilikuwa na Binti mwenye umri kama wa Ellie na alivyofariki mkononi mwangu nilipata insomnia relief aisee kwa hiyo Ellie ni kama Binti yangu aisee nilimpoteza Binti wa mwanzo hapo lazima Ellie nimlee na kumlinda kama mwanangu
 
wanadai nia ilikuwa kupunguza pia idadi ya vijana, sababu we all know vijana wasio na ajira wakizidi mitaani while maisha magumu nini huwa kinatokea, ndiyo maana mwishoni ilibidi iwe vile kwa yule dictator..!
Exactly πŸ’― mwanangu 😎

Vipi ulivyo icheki haukushtuka mwanangu maana wale wana walikuwa wanawala sana wenzao vichwa πŸ˜€ πŸ˜€
 
Ningeweza ndio, kama alivyosema Vincenzo Jr (shekh khalid ) 😁, jamaa bado ana yale majuto ya kutomlinda mwanae hivyo alivyokutana na mtoto kama mwanae akapata ile hali ya kutaka kumsaidia na kumlinda kama mwanae, japo kuwa dogo ni mbishi ila anamuheshimu, kumwamini na kumpenda sana joel
 
Nakataa πŸ˜‚

Kama Tess angekuwa hai hapo sawa, nilihisi unaweza tumia hiyo sababu ila kwenye mazingira ya uhalisia hili jambo ni gumu, wanaume tunajuana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Dah! Haya ngoja ninyamaze tu πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Sijaitazama hii series bado mkuu wangu..!!πŸ™
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…