Series (Special thread)

Series (Special thread)

Nimependa hustlers zake, lakini pia imetuonesha jinsi ndugu wanavyopambania kuturudisha nyuma, kaka ake Chuck alikua too much
Saul na kaka yake walikua na conflict iliyokua ikinifurahisha sana 😂.. Chuck anamuona Saul km ni mtu mjanja mjanja tu na hakustahili kuwa mwanasheria, hata kupelekea kumbania mara kadhaa kwenye harakati zake.
Ila hiyo chuki ndio ilimfanya Jimmy kupambana mpaka kuwa Saul Goodman.
 
Vincenzo Jr ulikuwa inajua hizi habari kwamba hizi series zime canceliwa, mi nlikuwa nasuburi muendelezo wake maana zilikuwa nzuri mno pia hata viewers na reviews zilikuwa nzuri tu
eae23ac1ee974e866c0df10813d293c8.jpg
fb5ccff13205da34cb842dda49897d61.jpg
 
Nilianza kuiangalia tarehe 16 Aug yani siku 3 baada ya kuachiwa official lakini mpaka leo bado nipo episode ya 4

Kuna namna ambayo wa Asia hawanivutii kwenye series.

Hii script ingeenda hollywood ingekuwa ni bonge ya series.

Hawa wakorea ni kama wanaigiza katikati ya igizo wameipoozesha sana series hususani zile scenes za kubembelezana na kutia tia huruma ndio walipo haribu.

Ebu imagine kwa maudhui ya hii kazi wangepewa ma blacks wa US kama kina Hardwick unadhani hii ingekuwa series ya kitoto?

View attachment 3479544
Uko sawa mi nilijilazimisha baadae nikasema inatosha.
 
Baada ya kutulia kama week2 sasa nimeanza hii series inaitwa Ozark nahisi story yake ni kama Breaking Bad au nipo OP? Vincenzo Jr dosho12 Mr Q series member

NB: icho kibwagizo😂 baada ya miaka mingi kutokutishika na movie ndo nikaangukia apo
Watu wanajua kuanza series, kama unapenda za kutisha unakaa vizuri kuangalia ila kama huzipendi unatoka mapema , sio series nyingine mpaka ep 02 hujui nini kinaendelea inahusu nini,

Hyo Ozark sijawahi kuicheki ila nasikia ni nzuri, ngoja Vincenzo Jr aje au Dr. Mariposa au Carleen watakuwa washaiona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom