Series (Special thread)

Nasubiria alice in the borderland season 3, angalau hii story ili Anza na kuisha vyema.
 
Halafu umenikumbusha niiangalie season 2, niliishia season 1, lakini mbona hii hawajaipa promo sana? binafsi nimeipenda
Ili kuwa silent hit baadae ika enda viral, baada ya squid game season 3 kuisha kulikuwa na space.

iki jadili ipi kali kati ya Alice na squid, Alice ali shinda.

hata kimauzo wako vyema, kina arisu.
 
Ili kuwa silent hit baadae ika enda viral, baada ya squid game season 3 kuisha kulikuwa na space.

iki jadili ipi kali kati ya Alice na squid, Alice ali shinda.

hata kimauzo wako vyema, kina arisu.
Alice ina magemu magumu mno, mule wamejazana majiniasi, kuna mwamba anaitwa chinsiya yule jamaa ana high level IQ
 
Squid game ina emotion inaonyesha jinsi watu wanavyosalitiana kwa ajili ya pesa na kusurvive, game gumu kabisa kwenye Squid game ni lile la season 1 kuruka kwenye vioo na season 3 kuruka kwenye kamba ila yaliyobaki ni simple sana.
Humu uki ambiwa uta fute gari hupati 🀣
 
Squid game ina emotion inaonyesha jinsi watu wanavyosalitiana kwa ajili ya pesa na kusurvive, game gumu kabisa kwenye Squid game ni lile la season 1 kuruka kwenye vioo na season 3 kuruka kwenye kamba ila yaliyobaki ni simple sana.
Ni kweli Squid Game ni emotional. Ila season one ndio ilikuwa komesha. Nakumbuka Season 1 episode ya 6 kama sikosei, hii episode ilikuwa inaitwa Gganbu ndo ilianza kuhusunisha kuna mshikaji tulikuwa tunaangalia naye huwezi amini, alitokwa na machozi. Alinikera sana, mwanaume unaliaje kisa movie
 
Nobody2 tayari online?
Nobody 2 sidhani kama imetoka
Hapo nilikosea kutag. Nilitaka ni reply kwenye hiyo post yako ambayo ume screenshot kuwa umesha download movie zote za muhimu wiki hii ndio nikawa nakuambia uko vizuri
Naona unautumia uhai wako vizuri sana kuenjoy movie😁
 
Good boy, Count down, iron heart ziko wapi?
Hivi Count down ni nzuri naona watu wanaizungumzia, hiyo Iron heart bado sijapata mzuka wa kuingalia sababu MCU hivi karibuni wana historia ya kuharibu kazi zao pia kuona mtoto wa chuo anatengeneza suit kama ya iron man ni kuharibu sifa ya Iron man 😁😁
 
Nzuri, hata hiyo iron heart hawaja zingua kivile.

Selikavu, Edo kissy endeleeni kuomba, yule Dem aki sema yess. Nawa alika kwangu kudadadeki.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…