Xiao qui shui
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 6,195
- 10,821
Dramacool nadawnlodijeKaka mara nyingi kwenye uTorrent hakunaga series za kikorea ili uzipate kwa wingi inatakiwa uende site hizi
Nkiri.com
Awafi fm.com
Dramacool.com
Dramacool nadawnlodijeKaka mara nyingi kwenye uTorrent hakunaga series za kikorea ili uzipate kwa wingi inatakiwa uende site hizi
Nkiri.com
Awafi fm.com
Dramacool.com
Kaka msimu ujao watakuwa wanakimbia wale 😀😃Sasa jamaa harakati za kujikomboa watafanya kweli kama wazee wa smile watatembea mchana!!😃 Wale jamaa wa smile wangekuwa wanaspeed ya kukimbia wangeuwa wengi sana
Itakuwa kivumbi, baada ya mume wake Tabitha kufa nahisi yule Jade atajimilikisha TabithaKaka msimu ujao watakuwa wanakimbia wale 😀😃
Naunga mkono hoja kaka😀😃😃 Tabitha anamkubali sana yule mwanaItakuwa kivumbi, baada ya mume wake Tabitha kufa nahisi yule Jade atajimilikisha Tabitha
Tumia site hii dramacool naona wamepigwa pangaDramacool nadawnlodije
nkiri.com
Naunga mkono hoja kakaTabitha anamkubali sana yule mwana
acha inyeshe tuone panapovuja
Hiyo picha ya tatu ilikuwa kwenye ile michoro ya victor au ? , alafu kama inataka kufana na alivyo chinjwa jim
Jim ndo alivyotolewa koromeo ivyo apo ya kati ni jamaa aliekuwa kabanwa na jiwe kwenye lile handaki(Jade alimuona)Hiyo picha ya tatu ilikuwa kwenye ile michoro ya victor au ? , alafu kama inataka kufana na alivyo chinjwa jim
mi naona kwenye fractured walieleza vizuri zaidi tena ki saikolojia ila straw ime base sana kwenye emotionMAJIBU YA CONDITION YA STERLING WA FRACTURED YAMEELEZEWA VIZURI KWENYE STRAW.
Upande wa huzuni bado sijaona kama Yale Turkish. Bado sana watu wame over rate.
FRACTURED inabidi utulize akili kuelewa mana ni ngumu kumuelewa yule specialist mana haijajifungua sana ila Straw wamekurudisha nyuma vzuri mpk unaona kweli dada alidata.mi naona kwenye fractured walieleza vizuri zaidi tena ki saikolojia ila straw ime base sana kwenye emotion
Hyo Hali ya kuona vitu visivyo kuwepo Tuombe isitokee kw watanzania mana ugomvi utakuwa mkubwa sana.FRACTURED inabidi utulize akili kuelewa mana ni ngumu kumuelewa yule specialist mana haijajifungua sana ila Straw wamekurudisha nyuma vzuri mpk unaona kweli dada alidata.
Ila kwenye straw kitu kimoja walichokosea mpaka kusema haija base sana ki saikolojia, mtu akisha flip vile ni vigumu kumuelewesha kwamba kile kilichotokea ni uongo, inachukua muda sana kukubali ila kwenye straw aliambiwa tu kwenye simu kisha yule manager wa bank aka confirm kuwa ni kweli alafu hapo hapo janaya akaamini wanasema ukweli bila ku dauti.FRACTURED inabidi utulize akili kuelewa mana ni ngumu kumuelewa yule specialist mana haijajifungua sana ila Straw wamekurudisha nyuma vzuri mpk unaona kweli dada alidata.
Kabisa hivi vitu ni vya kuona tu kwenye movie usiombe vikutokee, kuna story moja nilisikia zamani clouds fm, kuwa kuna mama mmoja alikuwa alifiwa na mwanaye alindondoka kwenye daraja la mto na kufa, ila huyo mama baada ya kufa alikuwa akienda darajani kumsubilia ampokee toka shule,Hyo Hali ya kuona vitu visivyo kuwepo Tuombe isitokee kw watanzania mana ugomvi utakuwa mkubwa sana.
Balaa Hilo unaweza sema inatibika hyo Hali hapo itachukua mda kufuta matukio.Kabisa hivi vitu ni vya kuona tu kwenye movie usiombe vikutokee, kuna story moja nilisikia zamani clouds fm, kuwa kuna mama mmoja alikuwa alifiwa na mwanaye alindondoka kwenye daraja la mto na kufa, ila huyo mama baada ya kufa alikuwa akienda darajani kumsubilia ampokee toka shule,
Shukurani mkuu imenisaidia sana
Karibu sana bosiShukurani mkuu imenisaidia sana
Huyu mzee sio powa msimu ujao Itakuwa ni balaa sana hii series