Series (Special thread)

Series (Special thread)

Screenshot_20250615_153220_Video Player.png
Screenshot_20250615_153533_Video Player.png
Screenshot_20250615_153550_Video Player.png


Hii movie nimeangalia na wife ilivyofika hii part nikaona mtu anaanza kulia kwa sauti🥹 ikabidi nistop movie nianze kumbembeleza ila hii movie ni maisha kabisa ya watu wanapitia humu mitaani mwetu....shukuru na jiombee mema kwa kile ulichojaliwa maisha yako ni jukumu lako
TUSIKATE TAMAA
 

Attachments

  • Screenshot_20250615_153220_Video Player.png
    Screenshot_20250615_153220_Video Player.png
    220.2 KB · Views: 13
  • Screenshot_20250615_153533_Video Player.png
    Screenshot_20250615_153533_Video Player.png
    196.2 KB · Views: 14
  • Screenshot_20250615_153550_Video Player.png
    Screenshot_20250615_153550_Video Player.png
    200.2 KB · Views: 9
Nimemuwekea hapa mdogo wangu (kike), huwa ana roho ngumu kuniliko maana movie anazopenda ni horror hata usiku wa manane peke yake anatazama, akii' hajapepesa hata jicho wala hajadondosha hata chozi..!!🙌
huyo dogo ni jasiri sana ila mpe hizi movie mbili sicin na evil dead akizimaliza hizo tutampatia cheti cha horror muvi au dosho12 unasemaje
 
Yule mtoto pale shuleni alichukuliwa na akina nani na kwanini walimchukua?
huwa inaitwa foster care, watu wa huko duniani wana utaratibu wao wakiona huwezi kumpa mwanao malezi yanayostahili, (naonaga sana addict huwa wananyang'anywa watoto) wanamchukua wanampeleka kwenye hizo foster home, zinakuwa chini ya usimamizi wa Serikali na wewe mzazi wake kwenda kumuona ni kwa utaratibu maalumu,

na kuruhusiwa kumchukua tena huyo mtoto ni mpaka wahakikishe mazingira ni salama kabisa kwa huyo mtoto ukaguzi ufanyike ndiyo urudishiwe, mind you mtoto ni wako na unakuwa huna mamlaka naye.!

walioishi nje watakuambia in details..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom