Sijaona series mzuri hapoView attachment 3354901
Kwa upande wangu hizi series sijui kwa nini zilikatishwa wakati zilikuwa nzuri tu Vincenzo Jr Dr. Mariposa Carleen Mr Q
😄😄Mbona ni nzuri, ushaziona lakiniSijaona series mzuri hapo
Siwezi angalia muvi/series za hivyo. Kwamba mtu anapekecha kignja kinato mwnga mkali na kumdhuru adui?😄😄Mbona ni nzuri, ushaziona lakini
😅😅 haya bwanaSiwezi angalia muvi/series za hivyo. Kwamba mtu anapekecha kignja kinato mwnga mkali na kumdhuru adui?
Can you explain this?😅😅 haya bwana
Huyo msichana ana uwezo wa ku absorb mwanga wa jua 😁😁
Even a black hole would ask it self twice before thinking of swallowing the sun sembuse mwanadamu? Hapo mi siwezi weka kalio kwenye sofa eti nichome dakika zangu kuangalia hizo series.Huyo msichana ana uwezo wa ku absorb mwanga wa jua 😁😁
😃😃Misisipi
unluckily, sijawahi zitama zote mbili hata..!!😐View attachment 3354901
Kwa upande wangu hizi series sijui kwa nini zilikatishwa wakati zilikuwa nzuri tu Vincenzo Jr Dr. Mariposa Carleen Mr Q
Hiyo ndio shida wabadilishe, mambo ya game wanaleta kwenye movie, mvuto imepoteza hujaona viewers walivyopukutika? sio wote tunapenda hizo games wajifunze kwenye HALONo hajipoteza mvuto wanafata story ya game lake kufa kwa Joel ilikuwa sahihi hata kwenye game alifariki pia
Naona Peter alikua sahihi kumruhusu Rose kwenda sababu Rose alikua anataka normal life ni kama alikua anawish Peter aache kazi yake wakaanzishe familia kama raia wa kawaida kitu ambacho sio rahisi, pili matukio yaliyowatokea kuanzia season 1 kwa Rose yalimuathiri kisaikolojia kamtafuta tena Peter kakutana na visanga vizito, iliniuma hata mimi namna walivyoachana lakini ilikua haina namna ni watu walioishi katika dunia mbili tofauti.Sema Peter alizingua sana yule demu kamtreat vibaya pale mwishonijapokua ki usalama kweli ilikua hatari kwa Rose but Peter namna flani hivi niliona alimnyanyasa kihisia na Rose alionekana kabisa kua anamuhitaji Peter kwa wakati huo kifupi Rose alkua anampenda mwamba..
Kumbe kuna Vampires? Mambo yangu hayooooo ngoja nitafuteSehemu ya pili ndio mtajua wale mapacha walitokea wapi maana hii ya sasa tumepewa story ya Sammi au dosho12 unasemaje kaka 😂 😃 na tutapewa story ya wale vampaya walitokea wapi
Ni nzuri sana hii 🔥Kumbe kuna Vampires? Mambo yangu hayooooo ngoja nitafute
Exactly 💯 ngoja tuone season 3 itakuwajeHiyo ndio shida wabadilishe, mambo ya game wanaleta kwenye movie, mvuto imepoteza hujaona viewers walivyopukutika? sio wote tunapenda hizo games wajifunze kwenye HALO
Daaaah!!!View attachment 3354901
Kwa upande wangu hizi series sijui kwa nini zilikatishwa wakati zilikuwa nzuri tu Vincenzo Jr Dr. Mariposa Carleen Mr Q