Series (Special thread)

Series (Special thread)

BLACK BIRD

Ni series kali ukiachana na hizi zinazovuma hii inahusiana na jamaa anaitwa Jimmy ni drug dealer, polisi wanafanikiwa kumkamata na anaenda jela baada ya kwenda jela Police wanaingia naye makubaliano ya kwamba anatakiwa aamishwe kwenye jela nyingine ambayo ina mtu polisi wanaemtafuta huyo inadaiwa kaua watu 14 na kawazika so muhuni anapewa kazi yakumjua huyo mtu na kujua hizo maiti alizozika huyo jamaa.Muhuni anapewa kazi yakumdhibiti muhuni mwingine unazani Nini kitajili na akifanikiwa polisi itamuachia huru ifuatilie hii series
Vincenzo Jr
Mr Q
Edo kissy
sumbai
 
BLACK BIRD

Ni series kali ukiachana na hizi zinazovuma hii inahusiana na jamaa anaitwa Jimmy ni drug dealer, polisi wanafanikiwa kumkamata na anaenda jela baada ya kwenda jela Police wanaingia naye makubaliano ya kwamba anatakiwa aamishwe kwenye jela nyingine ambayo ina mtu polisi wanaemtafuta huyo inadaiwa kaua watu 14 na kawazika so muhuni anapewa kazi yakumjua huyo mtu na kujua hizo maiti alizozika huyo jamaa.Muhuni anapewa kazi yakumdhibiti muhuni mwingine unazani Nini kitajili na akifanikiwa polisi itamuachia huru ifuatilie hii series
Vincenzo Jr
Mr Q
Edo kissy
sumbai
Ina ratings kubwa IMBD, naiweka kipolo hadi kesho nitaishusha, ngoja nimalizane na Snowfall
 
1742755804387.png


FOREVER

Ya 2014. Jamaa medical examiner wa polisi. Ana miaka zaidi ya 200 kwa sababu hawezi kufa. Kila akifa anafufuka. Hazeeki. Hata kazi yake anaifanya ili apate kujua namna ya kufa...

Anajikuta anatumia ujuzi wake wa historia na udaktari kusaidia polisi kukamata wauwaji. Walitengeneza season moja tu ya episodes 22. Nimefika ya 10. Ni nzuri kwa kweli.
 
BLACK BIRD

Ni series kali ukiachana na hizi zinazovuma hii inahusiana na jamaa anaitwa Jimmy ni drug dealer, polisi wanafanikiwa kumkamata na anaenda jela baada ya kwenda jela Police wanaingia naye makubaliano ya kwamba anatakiwa aamishwe kwenye jela nyingine ambayo ina mtu polisi wanaemtafuta huyo inadaiwa kaua watu 14 na kawazika so muhuni anapewa kazi yakumjua huyo mtu na kujua hizo maiti alizozika huyo jamaa.Muhuni anapewa kazi yakumdhibiti muhuni mwingine unazani Nini kitajili na akifanikiwa polisi itamuachia huru ifuatilie hii series
Vincenzo Jr
Mr Q
Edo kissy
sumbai
Seems to be a realdeal!!!!
 
View attachment 3281200

FOREVER

Ya 2014. Jamaa medical examiner wa polisi. Ana miaka zaidi ya 200 kwa sababu hawezi kufa. Kila akifa anafufuka. Hazeeki. Hata kazi yake anaifanya ili apate kujua namna ya kufa...

Anajikuta anatumia ujuzi wake wa historia na udaktari kusaidia polisi kukamata wauwaji. Walitengeneza season moja tu ya episodes 22. Nimefika ya 10. Ni nzuri kwa kweli.
Inashawishi kuifukua
 
Movie ya kihuni saana, hahaha yaan sikujua kwann Yule Agent alimpa Kazi ya kuua MTU, alafu kumbe wale wahuni wakwenye ndege wote pia wanataka kumuua yeye...

Hivi aliwakosea nn??
Yule jamaa kabla alipewaga kazi amlinde kigogo mmoja ivi wa serikalini sasa yule kigogo fantasy yake ni kusex na wadada wadogo uku anawapiga nini asa yule jamaa(star) hapendi izo akamuua ubaya ukawa jamaa alieuliwa ana ndugu yake anacheo CIA akawa anamtaka jamaa alieua apo ndo maana jamaa alikubali ile kazi ya pili ili apewe uhuru wake.

Sasa apo kwenye ndege yule mdada(Ghost) yupo na super computer yake sijui kuna utaalam gani ndani yake ukifanikiwa kuimiliki inaonyesha inakupa mahela, yule agent kuna mtu wa chini yake alipata kujua kuhusu hilo so apo akatoa dili kwa bounty killers wamuue na jamaa ili ule mzigo ukifika waupate iyo ndo ilikuwa sabab.
 
MM npo episode ya 2 tu ila natamani hata nisiimalize bonge moja la series maana ina vitu mule ninavyovikubali sana
Mtu akiambiwa series kali anawaza mangumi na marisasi, wakati siku hizi storyline na drama ndio kila kitu.

Utasikia mtu anakuambia Adolescence ni mbaya, wakati kwa wenzetu imeweka rekodi ya more than 2M+ viewers within 24h of its release.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom