Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 6,978
- 10,367
Ukiondoa 🌈 Umeona wapi commando /Tena sniper anawindwa na watu Tano na demu mmoja😅😅Sio kweli 😀 😀 labda wewe
Ukiondoa 🌈 Umeona wapi commando /Tena sniper anawindwa na watu Tano na demu mmoja😅😅Sio kweli 😀 😀 labda wewe
😃😀😀Ukiondoa 🌈 Umeona wapi commando /Tena sniper anawindwa na watu Tano na demu mmoja😅😅
Na yule mwamba kila akirusha jiwe anakosa hadi kajikojolea ndo akapata 😂😂😀😃😀😀 Ile one two one two 😃😀😀
Alipewa lawama za kutosha pale na Kuna yule mwana kwenye ule mchezo wa kurusha kete juu na kuzidaka alijichagua yeye ndo atacheza, wahuni wakamuuliza we mchezo wa kike unaujuaje mani 😂Na yule mwamba kila akirusha jiwe anakosa hadi kajikojolea ndo akapata 😂😂
waaaaaaaaah' 🤭View attachment 3187342
itafute mwanangu
yaani wameishia njiani vibaya mno niliwasimanga akii'..!!🙌
2018 😎😎waaaaaaaaah' 🤭
Jack Ryan ya lini mzee..??
😃 Wamezingua pale sema yule 001 muhuni sanayaani wameishia njiani vibaya mno niliwasimanga akii'..!!🙌
Naona EP zingine watatupa mwakani Hawa jamaaSikuhizi gharama za uigixaji zipo juu hapa ndio squid gme imeishia?
Nimemis series zilikuwa na episode kuanzia kumi kwa season moja. Unaanglia mpaka unatoshekaView attachment 3187546
Mbona ukitaka series yenye episode hata 300 bado zipo mkuu. Shida ni hao watu wa Squid Game. Hiyo season na jinsi ilivyokuwa nzuri wangefanya hata kama episode ziwe 12 ila wafikie muafaka.Sikuhizi gharama za uigixaji zipo juu hapa ndio squid gme imeishia?
Nimemis series zilikuwa na episode kuanzia kumi kwa season moja. Unaanglia mpaka unatoshekaView attachment 3187546
Jamaa wamepiga sana pesa na watazamaji ila bado kidogo tu ivunje rekodi ya shogun na the penguin ngoja tuone mpaka kesho itakuwajeMbona ukitaka series yenye episode hata 300 bado zipo mkuu. Shida ni hao watu wa Squid Game. Hiyo season na jinsi ilivyokuwa nzuri wangefanya hata kama episode ziwe 12 ila wafikie muafaka.
Kwa series ya namna hii sidhani kama Season 3 ni lazima. Zingekuwa mbili na wangekata kiu yote maana kila episode inafurahisha na kila mtu alikuwa anajua hili game linatakiwa liwe shut down. Sasa wao wanaishia njiani.
Mi nilivyoona tu episode ya 7 muda mwingi wanaspend kwenye action za bunduki na ndo episode ya mwisho nilijua tu itaishia kati. Yani kama nusu saa hivi ni shooting tu hakuna kingine, nikaelewa uhuni wanaotaka kutufanyia watazamaji 😆😆
Na ukute walishaigiza episode zote hadi mwisho tayari ila ni vile tu kuna ka idea ka ku maximize profit kamewajia.
LINEAR PROGRAMMING 😏