Series (Special thread)

Series (Special thread)

Na yule mwamba kila akirusha jiwe anakosa hadi kajikojolea ndo akapata 😂😂
Alipewa lawama za kutosha pale na Kuna yule mwana kwenye ule mchezo wa kurusha kete juu na kuzidaka alijichagua yeye ndo atacheza, wahuni wakamuuliza we mchezo wa kike unaujuaje mani 😂

Akajitetea kwamba kwao kulikua na wanawake wengi hivyo alikua anacheza nao. Wakasema fresh mani 😎

Wakati wa kucheza sasa jamaa kacheza fresh kuliko hata wanawake, unajua wahuni walimuangalia kwa namna kwamba mwanetu we umetuhama wewe 😂😂 si bure!
 
silo tupo season 2 ep ya 7 link kwa chini


Screenshot (53).png
 
Sikuhizi gharama za uigixaji zipo juu hapa ndio squid gme imeishia?

Nimemis series zilikuwa na episode kuanzia kumi kwa season moja. Unaanglia mpaka unatosheka
Screenshot_20241229-092952.png
 
Sikuhizi gharama za uigixaji zipo juu hapa ndio squid gme imeishia?

Nimemis series zilikuwa na episode kuanzia kumi kwa season moja. Unaanglia mpaka unatoshekaView attachment 3187546
Mbona ukitaka series yenye episode hata 300 bado zipo mkuu. Shida ni hao watu wa Squid Game. Hiyo season na jinsi ilivyokuwa nzuri wangefanya hata kama episode ziwe 12 ila wafikie muafaka.
Kwa series ya namna hii sidhani kama Season 3 ni lazima. Zingekuwa mbili na wangekata kiu yote maana kila episode inafurahisha na kila mtu alikuwa anajua hili game linatakiwa liwe shut down. Sasa wao wanaishia njiani.
Mi nilivyoona tu episode ya 7 muda mwingi wanaspend kwenye action za bunduki na ndo episode ya mwisho nilijua tu itaishia kati. Yani kama nusu saa hivi ni shooting tu hakuna kingine, nikaelewa uhuni wanaotaka kutufanyia watazamaji 😆😆
Na ukute walishaigiza episode zote hadi mwisho tayari ila ni vile tu kuna ka idea ka ku maximize profit kamewajia.
LINEAR PROGRAMMING 😏
 
Mbona ukitaka series yenye episode hata 300 bado zipo mkuu. Shida ni hao watu wa Squid Game. Hiyo season na jinsi ilivyokuwa nzuri wangefanya hata kama episode ziwe 12 ila wafikie muafaka.
Kwa series ya namna hii sidhani kama Season 3 ni lazima. Zingekuwa mbili na wangekata kiu yote maana kila episode inafurahisha na kila mtu alikuwa anajua hili game linatakiwa liwe shut down. Sasa wao wanaishia njiani.
Mi nilivyoona tu episode ya 7 muda mwingi wanaspend kwenye action za bunduki na ndo episode ya mwisho nilijua tu itaishia kati. Yani kama nusu saa hivi ni shooting tu hakuna kingine, nikaelewa uhuni wanaotaka kutufanyia watazamaji 😆😆
Na ukute walishaigiza episode zote hadi mwisho tayari ila ni vile tu kuna ka idea ka ku maximize profit kamewajia.
LINEAR PROGRAMMING 😏
Jamaa wamepiga sana pesa na watazamaji ila bado kidogo tu ivunje rekodi ya shogun na the penguin ngoja tuone mpaka kesho itakuwaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom