Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,240
- 79,795
Wali cancelSwali kidogo off topic, hivi La brea walishai cancel au itaendelea
Wali cancelSwali kidogo off topic, hivi La brea walishai cancel au itaendelea
Duh wamezingua mbona ilikuwa nzuri tuWali cancel
Wanazingua sana haoDuh wamezingua mbona ilikuwa nzuri tu
Hiki kifurushi kinakuaje?Tumia unlimited
Hiki kifurushi kinakuaje?
Unlimited zoteUnaenda Airtel Morocco wanakupa router free afu Kila mwezi unalipia elfu 70 au unaweza kutumia TTCL fiber elfu 50 kwa mwezi
Ndio unatumia internet bila kikomo kwa speed ya mbps 20 kwa hiyo elfu 50 kwa Airtel ni elfu 70 mbps 10Unlimited zote
Ndio nni mkuuu hyo unlimited???Tumia unlimited
Mb nyingi ndio inaleta resolution nzuriNdio nni mkuuu hyo unlimited???
Pili nashukuru sana kwa series ya jackal kwakweli nzuri sana ila kwenye MB SSA MHHH HATARI SANA
Unlimited ni internet bila kikomo mkuu yaani isp wako kama mmeeelewana mbps 20 kwa elfu 50 hiyo ndio kasi utapata kama kwa mbps 100 laki mbili hiyo ndio kasi utakayo pata isp ndio hao watoa huduma za mtandao mfano Airtel na mitandao mengine na Kuna fiber mfano zuku na liquid na Simba fiberNdio nni mkuuu hyo unlimited???
Pili nashukuru sana kwa series ya jackal kwakweli nzuri sana ila kwenye MB SSA MHHH HATARI SANA
Naunga mkono hojaMb nyingi ndio inaleta resolution nzuri
Bila HD Quality siangalii movieNaunga mkono hoja
Msalimie sana bianca humo ndani pamoja na Spanish girl NuriaWakuu kuisubiri The Jackal hadi imalize nimeshindwa, mishale ya saa moja jioni kwa saa za Africa mashariki nimeianza rasmi hadi muda huu naingia episode ya tano.
Hii series ni shida 🔥
Bianca ana mk*ndu hatari😋Msalimie sana bianca humo ndani pamoja na Spanish girl Nuria
Exactly 💯 mtoto mzuri sana yuleBianca ana mk*ndu hatari😋
Bianca anasababisha makaburi yaliyo funikwa zamani yafukuliwe kwenye episode 8Msalimie sana bianca humo ndani pamoja na Spanish girl Nuria
Hivi ndio ameigiza kwenye the woman king?Exactly 💯 mtoto mzuri sana yule
Mi mbona namuona wa kawaida sanaBianca ana mk*ndu hatari😋