Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,240
- 79,795
Mimi huwa nikiona series ya aina hii pengine naweza hata kuifuta kwenye pc yangu upinde wanatuharibia sana movie na series walianza hadi kwenye last of us aisee mpaka Leo ile series kile kipande sikutazama tena nilivuka EP nyingineHatari sana mkongwe!
Kuna kipindi utazoea kuangalia, utajikuta ghafla tu umeacha habari ya kupeleka mbele scene za namna hiyo (that's how brain works).
Miaka ya nyuma movies au series za ACTION ilikuwa hauwezi kukuta ujinga wa mapenzi ya jinsia moja.
Hii kitu ya The Jackal ni ya moto sana, ilifanikiwa kuteka hisia zangu. Mara paaap, episode ya 6 hiyo 🤮🤮🤮🤮.



