Series (Special thread)

Series (Special thread)

Nimeikata mpaka lisaa lizima sijawaona hao characters kina Van Damme na wenzie ambao mmeniambia wapo

Isije ikawa niliwaelewa vibaya ukute mlimaanisha wao ndio makamera man

Mr Q , Vincenzo Jr

1730372818877.png
 
Nimeikata mpaka lisaa lizima sijawaona hao characters kina Van Damme na wenzie ambao mmeniambia wapo

Isije ikawa niliwaelewa vibaya ukute mlimaanisha wao ndio ma makamera man

Mr Q , Vincenzo Jr

View attachment 3139799
Walimaanisha ukiangalia zile muvi za rambo, van damme n.k, misukosuko waliyopitia haifikii ya huyo demu humo.
 
Yeye anasema kaipata wapi?😂
Nilikuwa na tabia ya kuingiza majirani magetoni ili tucheki mpira na series sasa ndio huyu alipata chansi ya kuibeba eti anasema wakati anaichukua aliniambia afu nakumbuka siku ile nilikuwa mzima sijapiga pombe 🤣😀😃😃
 
Wale wazee wa teacup mzigo umeshaisha Leo EP zote 8 zipo sie wazee tulikuwa tunakula EP Moja Moja tushamaliza kazi kwenu wanetu 😀😃 kazi Ina vibe kama from
20241031_185132.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom