Series (Special thread)

Series (Special thread)

Basi itakuwa huwa unaangalia huku pembeni kuna watu wanakugasigasi labda washkaji au babies a vyovyote vile. Utulivu unakuwa kwa asilimia ndogo. Yes mwanaume unaweza usilie ila fundo la huzuni lazima liuzonge uso wako na mawazo yako. Mara ya mwisho kuhuzunika nilikuwa naangalia train to busan
Naangalia freeh tu tena naweka concentration zote

Ni trick tu kuweza kuepuka mtego wa director.
 
The penguin gigante aka Sofia soon atayatimba anaenda kumuua mama yake oz ningekuwa Mimi ningembandua huyu demu mpuuzi sana😃😀
 
Zinasikitisha mkuu Kuna Moja mzee mmoja alikuwa mwalimu wa chuo alikuwa na mbwa wake wanaenda wote shuleni na wanarudi sasa yule mzee akafariki aisee yule mbwa si akawa Kila siku anaenda kumsubiri yule mzee Kila siku pale shule
Kwa hiyo huzuni yako ilikuwa ni kwa mbwa kwasababu kafiwa na mmiliki?
 
Ndio 😭😭 na mzee alikuwa anampenda sana yule mbwa
Hahahahaha mbona vitu ize sana hivyo

Kuna movie moja ya kihindi ya kitambo nayo inaitwa Wikipedia Teri Meherbaniyan ina mauzui kama hayo.

Hiyo niliangalia kipindi nipo mdogo ndio iliweza ku shake utulivu wangu lakini sio kiasi cha kunifanya nilie
 
Mzee From imefika episodes ngapi mpaka sasa, nimejitahidi kukaza Hadi ikamilike yote.
Skilizia mpaka tarehe 24 mwezi ujao, mimi mwenyewe nimeiacha kwanza mpaka ikamilike ndio niicheki yote
1730446768630.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom