Series (Special thread)

Series (Special thread)

Teacup official inatoka juma ngapi??

Screenshot_20241019-124328.jpg
 
ONE ORDINARY DAY

Ni korean series ni nzuri sana ina jumla ya episodes 8 inahusiana na kijana mmoja ambaye anafanya kazi ya taxi wakati amemaliza muda wake wa kazi akiwa amepanga kwenda kwenye party ya marafiki zake kuna mteja mmoja ambaye ni mwanadada anataka kwenda mahali anajikuta hana jinsi na hela anahitaji anamchukua.

Wakati anampeleka wakiwa kwenye maongezi wanajikuta wanakuwa washikaji mpaka inapelekea yule dada kumpa mshikaji madawa ya kulevya

ONE ORDINARY DAY

Ni korean series ni nzuri sana ina jumla ya episodes 8 inahusiana na kijana mmoja ambaye anafanya kazi ya taxi wakati amemaliza muda wake wa kazi akiwa amepanga kwenda kwenye party ya marafiki zake kuna mteja mmoja ambaye ni mwanadada anataka kwenda mahali anajikuta hana jinsi na hela anahitaji anamchukua.

Wakati anampeleka wakiwa kwenye maongezi wanajikuta wanakuwa washikaji mpaka inapelekea yule dada kumpa mshikaji madawa ya kulevya aonje na mshikaji hajawahi kutumia lakini anajikuta naye anaonja, baadae demu anampeleka kijana kwenye ghetto lake na wanajikuta wanafanya mapenzi.Baada ya muda kijana anaenda kuoga baada ya mzangamuo anamuacha demu yupo kitandani alivyorudi baada ya kuoga anakuta demu ameuwawa kwa kuchomwa kisu na haijulikani aliyemuua ni nani? na kwasababu gani? Kijana ikabidi akimbie kuogopa msala wakati ameondoka anakumbuka amesahau ufunguo wa Taxi yake so inambidi arudi achukue so anafanikiwa kuchukua na pia ikafanya achukue hadi kisu kilichotumika kufanya mauaji baada ya kuondoka njiani anasimamishwa na traffic kwasababu alikuwa anaendesha gari kwa speed sana na wakati anasimamishwa kwa kosa hilo hapo hapo huyo traffic anapata taarifa kuwa kuna mauaji yamefanyika unadhani nini kitatokea? Hapa sasa ndio utamu wa series unaanzia don't miss it
Vincenzo Jr
Nifah
Cash Money Forever
Herzogg
Carleen
Maelezo mazuri nitaitafuta. Shukrani
 
Leo nilikua nafanya rewatch ya Game of thrones.

Daaah.

Tukiongea ukweli bila kupelekwa kwa popular opinion, kama hujasoma vitabu vyake, season 1 na 2 ni za hovyoo sanaa kwenye suala la writing.

Kwa season 1&2, Waandishi walichukua vitabu vizima wakavitengenezea screenplay kama vilivyo (mabadiliko machache sana) bila kujali utofauti wa storytelling kwenye kitabu na kwenye screen.

Dunia ya GoT ni pana hivyo Kitabu kinakua na maelezo mengi ili mtu uelewe vizuri kinachoendelea.

Hali ni tofauti kwenye screen maana unakua na limited time hivyo lazima storytelling ibadilike ili kuendana na mahitaji ya screen, kitu ambacho hakikufanywa au kilifanya kidogo sana kwenye Show ya GoT.

Hii ndio sababu fans wa GoT tunakwambia "we jikaze tu umalize season 1, huko mbeleni hutaiacha 🤣🤣" ( Japo ni kweli, kuanzia season ya 4 ni mchakamchaka sio wa dunia hii lakini nani wa kusubiri mpaka season ya 4 huko?) kama hujasoma kitabu, season 1 na 2 lazima zikutimue kambini unless upitiwe na kale ka ugonjwa ka kitu kikisifiwa na kupendwa na wengi basi nawewe automatically unakipenda.

Watu wengi ambao hii kitu imewashinda, wanalalamika kwamba it's so boring, na ni kweli, kwa mtu ambae ni mgeni kabisa kwenye GoT universe, GoT seasons 1 &2 are soo boring, hata ya 3 kwa kiasi fulani inaboa pia.

Mimi binafsi ni fan mkubwa wa GoT hasa zile novel zake and they are epic lakini linapokuja suala la show, leo nathubutu kusema kuwa GoT, as a standalone show bila kutegemea vitabu, it is an overrated "fantasy crap".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom