Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,407
- 54,851
Oaaaa ukisema uweke plasss mambo yanakua shabara gabara mpaka naona bora nichek.bila title tuu hawa torrent Galaxy sometimes jauWeka plus hapo
Oaaaa ukisema uweke plasss mambo yanakua shabara gabara mpaka naona bora nichek.bila title tuu hawa torrent Galaxy sometimes jauWeka plus hapo
No ni siku nzima kakaOaa wee alafu iyo buku ni kwa lisaa sio jombaaa
Ni series Gani hiyo nikupe link hapa ya subtitles yakeOaaaa ukisema uweke plasss mambo yanakua shabara gabara mpaka naona bora nichek.bila title tuu hawa torrent Galaxy sometimes jau
Oaaaa weee mi nataka nikafanye maajabu mpaka wanifukuze yaani wajute 😂😂😂😂😂😂No ni siku nzima kaka
Kaka kwanza ngoja nishaanza kusahau umesema mzigo ambao nikachukue mkali mkali kuna...Ni series Gani hiyo nikupe link hapa ya subtitles yake
Dark matterKaka kwanza ngoja nishaanza kusahau umesema mzigo ambao nikachukue mkali mkali kuna...
House
Dark matter
Dark
Hapo nianze na ipi hiyo kesho
Pale wewe tu kaka Luka nao hadi saa 6 uskuOaaaa weee mi nataka nikafanye maajabu mpaka wanifukuze yaani wajute 😂😂😂😂😂😂
kwahiyo una ushauri upi ama nitafute pesaNakuelewa maana hiyo situation niliwahi kuipitia mwaka jana.
VPN ya ttcl ilipokuja nikatabiri neema lakini kama unavyojua kizuri hakidumu na adui wa mwafrika ni mwafrika mwenyewe
Kweli baada ya muda mfupi wakushi wakakata nyaya na kila mtu akapoteana.
Sema nilikuja kugundua kuwa hii VPN mimi nilikuwa nimeipata kwa kuchelewa, wapo vibopa walioifaidi tangu inaanzishwa siku za mwishoni
Kuna raia way back walikuwa wameungwa halafu kuna time TTCL mtandao unakuwa slow mambo yao wanaona hayaendi halafu ukicheki na wao wamelipia hela.
Naskia walikuwa wanawapigia simu customer care, customer care akipokea tu jamaa anaanza direct "oya vipi wazee mbona VPN yenu inazingua na wakati nimeunga juzi tu"
Kwa hiyo naskia simu za namna hiyo zilikuwa nyingi na ndio zilizowasanua TTCL kuwa kuna mwanya ambao watu wanautumia kupata internet ya bure.
Ndio ndiokwahiyo una ushauri upi ama nitafute pesa
Zipo za kutosha kaka fatilia hili jukwaa. Nimeweka nyingi sana
Mambo ya kutishiana mi huwa siyapendi hii muvi/series ilinishinda
thank you Vincenzo Jr niko namalizia 'the killer' hapa..!