Series (Special thread)

Series (Special thread)

Nakuelewa maana hiyo situation niliwahi kuipitia mwaka jana.

VPN ya ttcl ilipokuja nikatabiri neema lakini kama unavyojua kizuri hakidumu na adui wa mwafrika ni mwafrika mwenyewe

Kweli baada ya muda mfupi wakushi wakakata nyaya na kila mtu akapoteana.

Sema nilikuja kugundua kuwa hii VPN mimi nilikuwa nimeipata kwa kuchelewa, wapo vibopa walioifaidi tangu inaanzishwa siku za mwishoni

Kuna raia way back walikuwa wameungwa halafu kuna time TTCL mtandao unakuwa slow mambo yao wanaona hayaendi halafu ukicheki na wao wamelipia hela.

Naskia walikuwa wanawapigia simu customer care, customer care akipokea tu jamaa anaanza direct "oya vipi wazee mbona VPN yenu inazingua na wakati nimeunga juzi tu"

Kwa hiyo naskia simu za namna hiyo zilikuwa nyingi na ndio zilizowasanua TTCL kuwa kuna mwanya ambao watu wanautumia kupata internet ya bure.
kwahiyo una ushauri upi ama nitafute pesa
 
Zitafute mtu wangu Cc Carleen Mr Q
IMG_20240729_110714_441.jpg
IMG_20240818_132622_036.jpg
IMG_20240818_132500_017.jpg
IMG_20240819_004618_426.jpg
IMG_20240801_170307_574.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom