Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,166
- 123,287
Prison break nimeipakua upya juzi complete ina kama 135GBHapa namalizia hii inaitwa la brea saasa nataka seson 3 yake afu nataka na prison break yote mkuu
Prison break nimeipakua upya juzi complete ina kama 135GBHapa namalizia hii inaitwa la brea saasa nataka seson 3 yake afu nataka na prison break yote mkuu
Oaaa weeee na wewe leo 😂😂😂😂Wabongo fitna nyingi
Sana hadi ile ya tigo mwaka jana ili liwa kichwaWabongo fitna nyingi
😂😂😂😂😂135gb si inabidi niwe na external sasa khaaa 😂😂😂😂Prison break nimeipakua upya juzi complete ina kama 135GB
Nitakimbia nn kaka oaaa unatisha au vipi 😂😂😂😂😂Ukifika season 2 utakimbia😂😁😁
Mimi jana nimenunua gb 500 hard disk nataka niweke series tu afu nimepunguza space kwa ajili ya series ya fromOaaa weeee na wewe leo 😂😂😂😂
Naskia umejaza 2tb kwa movies
Episode 9 tuu inaisha oaa hi unayo au upo hapa kunitamanisha dadekNi ipo full vipande 9
Utakuwa unapelekwa mbele mara unarudishwa miaka 10 nyuma ni balaa tupuNitakimbia nn kaka oaaa unatisha au vipi 😂😂😂😂😂
Oaaa weee so poa kumbe..Mimi jana nimenunua gb 500 hard disk nataka niweke series tu afu nimepunguza space kwa ajili ya series ya from
Ninayo kaka ukihitaji nakutumia yote telegram au kwenye email yako wewe tuEpisode 9 tuu inaisha oaa hi unayo au upo hapa kunitamanisha dadek
Oaaa weee ndo mambo yangu hayo ila yasiwepo mambo ya marvel tuu sijui mtu anawaka macho mara anapaaa staki huo umama mimi 😂😂😂😂😂😂Utakuwa unapelekwa mbele mara unarudishwa miaka 10 nyuma ni balaa tupu
Mbona kawaida hiyo😂😂😂😂😂135gb si inabidi niwe na external sasa khaaa 😂😂😂😂
Mwaka jana nilizika tb 4 SSD ilienda na movie kibao nilipata hasara sana aisee mambo ya tanesco washa Zima umeme rudishaOaaa weee so poa kumbe..
Sasa mii hapa nina 2tb, nina 500gb, alafu ya pc ni 500gb ila zote naona daah kama zinajaa hv
Weee dogo are you whitch...Ninayo kaka ukihitaji nakutumia yote telegram au kwenye email yako wewe tu
Hamna mambo ya marvel ni full balaaOaaa weee ndo mambo yangu hayo ila yasiwepo mambo ya marvel tuu sijui mtu anawaka macho mara anapaaa staki huo umama mimi 😂😂😂😂😂😂
Sema wee utakua unachukua mizigo ya high quality dadek MKV hizo daaaah 😂😂😂😂😂Mbona kawaida hiyo
Mfano tu ile ya person of interest licha ya kuwa na episode 8 lakini imechukua 28GB
Kuna the wire ina season 5 ina 128GB
Yani GB 500 zinaweza kujazwa na series mbili mpaka tatu.
Oaaa hapo unyama sanaHamna mambo ya marvel ni full balaa
Daaah oaaa weee pole mwanangu.... Mi ndo mana sitaki kuwa na tb kubwa kwa pamoja ujue...Mwaka jana nilizika tb 4 SSD ilienda na movie kibao nilipata hasara sana aisee mambo ya tanesco washa Zima umeme rudisha
Duh polee sana 😂😁😁😁 Kabisa hizi bando za kupima ni balaa hivi huko mtaani kwenu chamazi hamna mahali pa internet cafe nikupe mafile hapa ya gb za kutosha ni 1080 mkuuWeee dogo are you whitch...
Sasa unatuma mimi napakua vipi kudadek na bando la mchongo..
Weee skia mi now nipo available naweza aga hapa kwa antiel nikaja chap kubeba hata kama upo kibaha mamaeeeeee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂