Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,981
- 46,679
Chukua externalDaah nimebakiza 2GB kwenye 2TB, muda si mrefu ntalazimika kufanya operation ya futafuta
View attachment 3079046
Chukua externalDaah nimebakiza 2GB kwenye 2TB, muda si mrefu ntalazimika kufanya operation ya futafuta
View attachment 3079046
Naunga mkono hoja aandae laki Moja anapata TB 2Chukua external
Pole sana 😁😂😁😁 tafuta TB 4 zipo kariakoo SSDDaah nimebakiza 2GB kwenye 2TB, muda si mrefu ntalazimika kufanya operation ya futafuta
View attachment 3079046
Karibu sana kakaVincenzo Jr nashukuru kwa kunikumbusha jana ulipo wela link sasa ngoja niishushe
Hongera sana kaka
Karibu sana mkuuView attachment 3079218
Mkuu Vincenzo Jr shukrani sana kwa hii kazi ni 🔥. Ila viewers be advised this shit has mikito next level😋
Karibu sana mkuu ukitaka Fanya hivi nenda sehemu zenye unlimited wifi chukua mafile ya movie afu unasevu kakamchawi bando, ila huu uzi unatamanisha
Au tumia postpaidmchawi bando, ila huu uzi unatamanisha
Karibu sana mkuu ukitaka Fanya hivi nenda sehemu zenye unlimited wifi chukua mafile ya movie afu unasevu kaka
nina vikwazo kibao yaani nimefulia to the maximumAu tumia postpaid
Polee kaka tatizo upo mbali ungekuwa kigamboni ningekupa mafile mengi ya movie na series kibaonina vikwazo kibao yaani nimefulia to the maximum
Hiyo pia ni externalChukua external
Hiyo ni external 2TB sio internal diskNaunga mkono hoja aandae laki Moja anapata TB 2
SSD external za saizi nyingi ni famba na ukiikuta ambayo ni real bei yake inakaribiana na kiwanja.Pole sana 😁😂😁😁 tafuta TB 4 zipo kariakoo SSD
Nikajua season 2 tayari imetokaView attachment 3079218
Mkuu Vincenzo Jr shukrani sana kwa hii kazi ni 🔥. Ila viewers be advised this shit has mikito next level😋
Nakuelewa maana hiyo situation niliwahi kuipitia mwaka jana.mchawi bando, ila huu uzi unatamanisha
😁😂😂😂Hi Mimi nilitumia sana Toka mwaka juzi na mwaka jana mwishoni tigo vpn Kuna file la vpn lilikuwa linapiga kazi fresh wabongo wakaripoti tigoNakuelewa maana hiyo situation niliwahi kuipitia mwaka jana.
VPN ya ttcl ilipokuja nikatabiri neema lakini kama unavyojua kizuri hakidumu na adui wa mwafrika ni mwafrika mwenyewe
Kweli baada ya muda mfupi wakushi wakakata nyaya na kila mtu akapoteana.
Sema nilikuja kugundua kuwa hii VPN mimi nilikuwa nimeipata kwa kuchelewa, wapo vibopa walioifaidi tangu inaanzishwa siku za mwishoni
Kuna raia way back walikuwa wameungwa halafu kuna time TTCL mtandao unakuwa slow mambo yao wanaona hayaendi halafu ukicheki na wao wamelipia hela.
Naskia walikuwa wanawapigia simu customer care, customer care akipokea tu jamaa anaanza direct "oya vipi wazee mbona VPN yenu inazingua na wakati nimeunga juzi tu"
Kwa hiyo naskia simu za namna hiyo zilikuwa nyingi na ndio zilizowasanua TTCL kuwa kuna mwanya ambao watu wanautumia kupata internet ya bure.
.mkuuDaah nimebakiza 2GB kwenye 2TB, muda si mrefu ntalazimika kufanya operation ya futafuta
View attachment 3079046
Oyaaaa.mkuu