Series (Special thread)

Series (Special thread)

Mr and mrs smith 24
Dark matter
How to.get away with murder
New amsterdam
Power
Severence
The bridge
Tracker

True detective
Anza na mr and mrs smith ni kali sana, nimekuambia uianze hii kwasababu ndio latest halafu bado season 2 inasubiriwa.

Kuna kiswahili kibovu kilitamkwa hapo



So baada ya kuimaliza hiyo njoo kwa 50 Cent kwenye Power ucheki namna drugs dealer wanavyo uana.



Makeke ya 50 kwenye robbery


Kutana na muhuni Tommy mzee wa temper
 
Mr and mrs smith 24
Dark matter
How to.get away with murder
New amsterdam
Power
Severence
The bridge
Tracker

True detective
Tracker nimeangalia episode 3 nikai skip ila sio kama ni mbaya.

The bridge ni series ya ki British inaonekana ni kali mno

Nilianza jana kuiangalia episode 1 umeme ukafakisha kabla hata sijaimaliza.

Zingine hizo bado sijazicheki kabisa.
 
Tupo episode ya 4 itafute mtu wangu
IMG_20240616_144104_819.jpg
 
Tracker nimeangalia episode 3 nikai skip ila sio kama ni mbaya.

The bridge ni series ya ki British inaonekana ni kali mno

Nilianza jana kuiangalia episode 1 umeme ukafakisha kabla hata sijaimaliza.

Zingine hizo bado sijazicheki kabisa.
Nimeangalia traillers hapo naona kama
mr&mrs smith 24
Severance
The bridge
Ni real deal nitatembea kwanza na hizo
 
Sema kufatilia epsode moja moja nayo daah inatia uchungu. Kama hapa nimemaliza kuangalia espsode 4 yaani nianze tena kusubiri hadi jumatatu tena itoke epsode ya tano.
Hadi Mimi kaka sema episode ya 4 kalii sana yaani ngoja tuone wiki inayofata itaendelea vipi hii series kalii sana yaani
 
Hiyo Adam sijaicheki.

Ila Power ni series nzuri kama Snowfall na maswala ya drugs.

Ni nzuri sana
Asee ulikuwa wapi siku zote kunambia 😁😁 nimeanza moja inaitwa hotel cocaine baada ya kumalizana na your honor(series moja tamu sana yenye hekaheka za kupindisha sheria kuficha uchafu bila kupenda)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom