Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,832
- 37,438
Asante sanaKaribu sana kigamboni madam 😎😎
Asante sanaKaribu sana kigamboni madam 😎😎
Sio group ni thread Mkuu hapa Kila entertainment utapata movie, series and moreHili group ni la series na movies au series tupu? Maana silielewi
Wewe unataka vitenganishwe ili iweje? Hujataka kuelewa tuHili group ni la series na movies au series tupu? Maana silielewi
Movie Nzuri... Binafsi nilikomaa nayo baada ya kuona Characters Wengi wa GOT...Hivi hii 3 Body Problem ni nzuri kweli? maana nimechukua siku nzima kumaliza episode ya 1.
Vipi huko mbele itachangamka?
Kaliii sana yaani Toka mwaka umeanza nimeona series kalii 4 tu the gentleman,shogun,3 body problem,haloMovie Nzuri... Binafsi nilikomaa nayo baada ya kuona Characters Wengi wa GOT...
Shogun nitaishusha leo niichek... Hizo nyingine sikupingiKaliii sana yaani Toka mwaka umeanza nimeona series kalii 4 tu the gentleman,shogun,3 body problem,halo
Thread ya movie ipo sema tu mmeamua kuchanganya mambo, hii ni thread ya Series na inajieleza hivyoSio group ni thread Mkuu hapa Kila entertainment utapata movie, series and more
Ibadilishwe iwe series/&movies hakuna haja ya kutangatanga wakati hata series ni muunganiko wa muvi fupifupi😹Thread ya movie ipo sema tu mmeamua kuchanganya mambo, hii ni thread ya Series na inajieleza hivyo
Uwe unaweka basi hapa recommend za series mkuuThread ya movie ipo sema tu mmeamua kuchanganya mambo, hii ni thread ya Series na inajieleza hivyo
Naunga mkono hojaIbadilishwe iwe series/&movies hakuna haja ya kutangatanga wakati hata series ni muunganiko wa muvi fupifupi😹
Kaka kaliii sana hiyoShogun nitaishusha leo niichek... Hizo nyingine sikupingi
Nimeshaishusha kaka ngoja nitoke UEFA hivi nikaanze nayoKaka kaliii sana hiyo
Ngapi ngapi hapo kaka Mimi nipo vichakani huku paje nzanzibarNimeshaishusha kaka ngoja nitoke UEFA hivi nikaanze nayo
Bayern na Arsenal Bila bila bado Agg (2:2)Ngapi ngapi hapo kaka Mimi nipo vichakani huku paje nzanzibar
Asante sana kaka maana nipo baharini huku niponipo tu na watoto wa kipembaBayern na Arsenal Bila bila bado Agg (2:2)
Man City vs Madrid 0:1 madrid anaongoza agg (3;4)
Rodrigo kama kawaida kawafunga
Arsenal kapigwa. Huko😂Ngapi ngapi hapo kaka Mimi nipo vichakani huku paje nzanzibar
Kaka wai kigamboni utakufa hukoAsante sana kaka maana nipo baharini huku niponipo tu na watoto wa kipemba
Narudi wiki ijayo kaka Kuna jamaaa nimemleta kuchukua jiko huku pajeKaka wai kigamboni utakufa huko