Series (Special thread)

Series (Special thread)

IMG_20240409_132038_744.jpg
Screenshot_20240409-132213.jpg
 
Wakuu naomba majina ya movies ama series zile zime base kwenye true story hasa zile za wanamichezo mbalimbali. Movies ama series za namna hiyo nimetokea kuzielewa sana.

Nimetizama movie ya RISE hii inahusu maisha ya mchezaji Giannis Antetokounmpo anaekipiga katika kilabu ya kikaku Milwaukee Bucks nchini Marekani katika ligi ya NBA. Hii imeelezea maisha yake yote aliyo pitia mpaka kufikia hatua ya kucheza katika ligi kubwa na maarufu duniani, ni movie nzuri sana.

Pia nimetizama movie ya BIG GEORGE FOREMAN, hii imezungumzia maisha ya mwanamasumbwi Big George, huyu mwamba alikuwa ni noma sana. Huyu jamaa ndio alifanya nikamkubali Mohammed Ali, awali sikuamni kama kuna mtu anaweza mpiga Big George kwenye ulingo mpaka pale Ali alipo nisahihisha makosa yangu. Big George alikuwa na ngumi nzito sana, kiukweli sijawahi kuona. Mohammed Ali alipo mpiga Big George kule Zaire moja kwa moja nili mkubali Ali. Mohammed Ali ndio chanzo cha kumdunda Big George mpaka kumtoa kwenye masumbwi na kuhamia kwenye uchungaji huko. Akaja kurudi baada ya miaka 10 kufuatia kushuka kiuchumi na kutwaa ubingwa wa dunia kwa mara ya pili.

Movies za namna hii huwa zinanisisimua sana na ninazipenda kupita maelezo, naombeni nyingine tafadhali.
 
Wakuu naomba majina ya movies ama series zile zime base kwenye true story hasa zile za wanamichezo mbalimbali. Movies ama series za namna hiyo nimetokea kuzielewa sana.

Nimetizama movie ya RISE hii inahusu maisha ya mchezaji Giannis Antetokounmpo anaekipiga katika kilabu ya kikaku Milwaukee Bucks nchini Marekani katika ligi ya NBA. Hii imeelezea maisha yake yote aliyo pitia mpaka kufikia hatua ya kucheza katika ligi kubwa na maarufu duniani, ni movie nzuri sana.

Pia nimetizama movie ya BIG GEORGE FOREMAN, hii imezungumzia maisha ya mwanamasumbwi Big George, huyu mwamba alikuwa ni noma sana. Huyu jamaa ndio alifanya nikamkubali Mohammed Ali, awali sikuamni kama kuna mtu anaweza mpiga Big George kwenye ulingo mpaka pale Ali alipo nisahihisha makosa yangu. Big George alikuwa na ngumi nzito sana, kiukweli sijawahi kuona. Mohammed Ali alipo mpiga Big George kule Zaire moja kwa moja nili mkubali Ali. Mohammed Ali ndio chanzo cha kumdunda Big George mpaka kumtoa kwenye masumbwi na kuhamia kwenye uchungaji huko. Akaja kurudi baada ya miaka 10 kufuatia kushuka kiuchumi na kutwaa ubingwa wa dunia kwa mara ya pili.

Movies za namna hii huwa zinanisisimua sana na ninazipenda kupita maelezo, naombeni nyingine tafadhali.
Itafute King Richard
 
Hakunaga series bora kama GOT ni bonge la series. Ilivunja record ya kuwa pirated na kila season watazamaji kuongezeka na ikaisha watu wakiwa wanataka kuendelea kuitazama. Ile series kwangu mimi ni bora kuliko series zote nimewahi tazama. Napenda hasa conversation za humu japo season ya mwisho walipuyanga kwa kuiwaishia kuisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom