Series (Special thread)

Series (Special thread)

360p unaiangalia kutumia binocular ya Galilei Galilleo?
Hiyo ilikuwa ya kujifunzia tutorial yako.
Mimi resolution yangu ni 720 kama unavyo ona hapa chini episode moja ina MB KUANZIA 500 na kuendelea
Screenshot_20231208-155207.png
 
Saizi nipo kuangalia the americans

Niliona mdau humu akiulizia series au movie yeyote ambayo inafanana na the americans hapo ndio nikaamua kuitafuta.

Iko vizuri na mpaka saizi nimemaliza Season 1 afu niko nayo mdogo mdogo sina pupa nayo
Kaka hiyo ni nzuri sana pia Kuna harakati za kika chero mule Kuna mtu na bwana wake ni Warussia ambao waliitwa Elizabeth na Philip wana spy wamarekani ni nzuri sana hiyo sema Kuna yule dada fbi aliwachoma wenzie ofisini kwao anatumika na bwana wake yule mrusi ni bonge la season hiloooo mie niliicheki kipindi wanatoa Moja Moja sikupenda stan alivo msnich nina
 
Saizi nipo kuangalia the americans

Niliona mdau humu akiulizia series au movie yeyote ambayo inafanana na the americans hapo ndio nikaamua kuitafuta.

Iko vizuri na mpaka saizi nimemaliza Season 1 afu niko nayo mdogo mdogo sina pupa nayo
Kuna dada mmoja anaitwa Nina alikuwa ni nyungu WA kirusi mzuri sana alikuwa ana vujisha siri za serikali ya urusi
 
Kaka hiyo ni nzuri sana pia Kuna harakati za kika chero mule Kuna mtu na bwana wake ni Warussia ambao waliitwa Elizabeth na Philip wana spy wamarekani ni nzuri sana hiyo sema Kuna yule dada fbi aliwachoma wenzie ofisini kwao anatumika na bwana wake yule mrusi ni bonge la season hiloooo mie niliicheki kipindi wanatoa Moja Moja sikupenda stan alivo msnich nina
Usiisimulie ukaimaliza unakuwa unakata uhondo bado naendelea kuiangalia

Ila ni nzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom