Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,241
- 79,802
Hawa Airtel Leo watanikoma TB 1 zimefutika na mwezi ujao ninatulia siwapi hela maana Nina foleni ya movie na series kibao
360p unaiangalia kutumia binocular ya Galilei Galilleo?Hakika darasa nimelielewa sasa muvi ya last resort ijiandae ngoja nichange quality kwanza nilifanya majaribio kwenye 360
View attachment 2836428
Hapo ni Airtel au starlink?Hawa Airtel Leo watanikoma TB 1 zimefutika na mwezi ujao ninatulia siwapi hela maana Nina foleni ya movie na series kibao View attachment 2836439
360p unaiangalia kutumia binocular ya Galilei Galilleo?
Ni Airtel kaka HawaHapo ni Airtel au starlink?
Naona estimation time ni dakika 20 afu ka faili kenyewe ka jibi moja na pointi kadhaa
Au hii ni ile package ya 70K?
Ingekuwa starlink ingejaa chapu kwa sekunde tu hapa nipo zangu kwa bibi nimetulia huku mtandao unasumbua tuHapo ni Airtel au starlink?
Naona estimation time ni dakika 20 afu ka faili kenyewe ka jibi moja na pointi kadhaa
Au hii ni ile package ya 70K?
Umetumia site gani kupakua hii series?View attachment 2836472
Mzigo unakimbiza
Umetumia site gani kupakua hii series?
Hii site naipendea kitu kimojaSeez - Keep track of all your movies and TV series.
Stream, Browse, and keep track of all your movies and TV series.seez.su
Shusha kakaNime pata kitonga Cha wi-fi, mauaji niliyo yafanya ni zaidi ya sisu🤣😂.
👉Una shusha vitu 🔥🔥, quality mpaka naogopa.
Kaka nime amua niondokee, maana nime tembea s zaidi ya gb 300 😆😄.Shusha kaka
Una undugu na Mwachiluwi ehh 😆🤔Hawa Airtel Leo wamerogwa kasi inapungua 😭😭😭
Mzigo WA kucheki hadi mwezi WA pili kaka mie nashusha the 100 hapaKaka nime amua niondokee, maana nime tembea s zaidi ya gb 300 😆😄.
👉Nime shusha movies zaidi ya 100😄😆
Router yangu inawakawaka tu hapa mtandao unasoma speed 4🤣😭😭Una undugu na Mwachiluwi ehh 😆🤔
Lethal weapon, aliasMzigo WA kucheki hadi mwezi WA pili kaka mie nashusha the 100 hapa
Kaka tukutane 2025, for now natulia maana nime shusha zaidi ya series 16.Mzigo WA kucheki hadi mwezi WA pili kaka mie nashusha the 100 hapa
Stranger things naisikia sikia watu wakiitaja taja ila sijawahi kuichekiLethal weapon, alias
Designed survivor
Stranger things - hii nili ambiwa na @mshamba_hachekwi,👉
👉 Scars, Franky Samuel, Depal, seli kavu, mna zijua hizi??
Kaka acha nipambane na mzigoo huu, nime shusha zaidi ya series 16- na Zina season kibao.Stranger things naisikia sikia watu wakiitaja taja ila sijawahi kuicheki
Hizo zingine ndio kabisaaa