Series (Special thread)

Series (Special thread)

Speed ya ajabu
Screenshot_20231208-004203.jpg
 
Sites nyingi mfano

1. Fmovies IDM
2.Flixer IDM
3. Seez IDM
4. Yts IDM/uTorrent
5. Eztv IDM/uTorrent
6. Piratebay IDM/uTorrent
7. 123Movies IDM

Ukitaka ku download kupitia Simu basi uwe na application hii hapa 1DM

Ukiwa na application hiyo utaqeza kupakuwa video yeyote kutoka kwenye site yeyote (isipokiwa video za YouTube hai detect)

Lakini pia kwa application hiyo utaweza kupakua chochote kwenye uTorrent kwa mfumo wa magnetic.

Kama ni kwa mtumiaji wa PC basi atatakiwa kuwa na IDM na uTorrent.
Mkuu hizi ni za kustream online tu mbona kidownload zinagoma
 
Ila kwenye download nikibinya naona sielewi hapa
Ili uweze kudowload unatakiwa u play hiyo video kisha hiyo download bar ita detect hiyo video utaona ime change rangi na kuwa nyekundu pamoja na number

Mfano uki play hiyo video chagua resolution unayoitaka ikisha load tu angalia download button utaona ime catch. Uki bofya hiyo download button utaona list ya resolution ya hiyo video.

So lets say video ulipo play mwanzo ilikuwa na automatic Quality ambayo ilikuwa ni 360 halafu baadae ukaamua u change kuwa 720 au 1080 basi kwa kufanya hivyo ile download button itakuwa ime catch Quality zote

So ukibofya hiyo download button utaona list ya video Quality zote pamoja na size zake

Hapo ku download ni one click tu

Nitaweka hapa video ya maelekezo ila kwa sasa mtandao wa Airtel unasumbua so hata internet imekuwa ya on and off
 
Ili uweze kudowload unatakiwa u play hiyo video kisha hiyo download bar ita detect hiyo video utaona ime change rangi na kuwa nyekundu pamoja na number

Mfano uki play hiyo video chagua resolution unayoitaka ikisha load tu angalia download button utaona ime catch. Uki bofya hiyo download button utaona list ya resolution ya hiyo video.

So lets say video ulipo play mwanzo ilikuwa na automatic Quality ambayo ilikuwa ni 360 halafu baadae ukaamua u change kuwa 720 au 1080 basi kwa kufanya hivyo ile download button itakuwa ime catch Quality zote

So ukibofya hiyo download button utaona list ya video Quality zote pamoja na size zake

Hapo ku download ni one click tu

Nitaweka hapa video ya maelekezo ila kwa sasa mtandao wa Airtel unasumbua so hata internet imekuwa ya on and off
Charles kilian
Mr Q
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom