Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,978
- 46,669
Hizo za the wire ndo nazungumzia. Sasa class ya breaking bad mzee hailinganishwi na takataka zingineBreaking bad ya lini??, Prison break ya lini??
Hizo za the wire ndo nazungumzia. Sasa class ya breaking bad mzee hailinganishwi na takataka zingineBreaking bad ya lini??, Prison break ya lini??
Si ume zungumzia uzamani???, Au classic ??Hizo za the wire ndo nazungumzia. Sasa class ya breaking bad mzee hailinganishwi na takataka zingine
Series za zaman mno dah hadi uvivu kuzitafuta
Uzaman wa breaking bad mkuu na masawala inayozungumzia yanafanya ionekane ya kisasa iliyoko mbele ya wakati.Si ume zungumzia uzamani???, Au classic ??
Nimeanza na season 1 ya The Wire lakini naangalia kwa kujivuta sana.. Episode 3 namaliza ndani ya wiki.Hizo za the wire ndo nazungumzia. Sasa class ya breaking bad mzee hailinganishwi na takataka zingine
Hizo zingine sijaziangalia hicho kipindi nilikuwa bize na 24Dah Kaka 🤣😂😂, vipi kuhusu the wire, na mad men ??
Uneona eeh?Series za zaman mno dah hadi uvivu kuzitafuta
Ila breaking bad ikikuingia utakuwa unatafuna episode baada ya episodeNimeanza na season 1 ya The Wire lakini naangalia kwa kujivuta sana.. Episode 3 namaliza ndani ya wiki.
Ngoja na leo nikitoka kazini niifungie kazi!
NdioUneona eeh?
Ukiangalia Breaking Bad, ukaangalia na Better Call Saul.. Hhm!!😊Uzaman wa breaking bad mkuu na masawala inayozungumzia yanafanya ionekane ya kisasa iliyoko mbele ya wakati.
Hii nilishaangalia nikarudia na kurudia.Ila breaking bad ikikuingia utakuwa unatafuna episode baada ya episode
Kwani hata naweza kuangalia movie siku hizi? Na hizi mvua nalala saa 12 siku hizi😂😂The wire, board Walk empire, mad men, home land ni 🔥🔥
Charles kilian, HIMARS, adriz, Mvaa Kobazi, Dream Queen, Depal, mshamba_hachekwi, Mr Q
Duh ulikua unashinda nayo 24 hrsMi nataka irudia yote, prison break, person of interest, homeland
Tusubiri tu kombe la dunia tujumuike pamoja 🤡🤡Kwani hata naweza kuangalia movie siku hizi? Na hizi mvua nalala saa 12 siku hizi😂😂
Mnawezaje kuangalia series zaidi ya mara moja mbona hii mimi kwangu inanishinda?Hii nilishaangalia nikarudia na kurudia.
Vitu tuviwezavyo 🔥 bora kukaa kwenye screen ya mpiraTusubiri tu kombe la dunia tujumuike pamoja 🤡🤡
Siku Zikibaki series za mashoga utarudi kuangalia breaking bad upyaMnawezaje kuangalia series zaidi ya mara moja mbona hii mimi kwangu inanishinda?
Mi labda niangalie highlights yani vipande vipande vile vyenye scenes zilizo nikosha.
Lakini kuanza upya season 1 episode 1 mpaka unamaliza series yote huku ukijua kila tukio linalofuata mbona haileti mzuka kabisa....
Ikikubamba unarudia tu…Mnawezaje kuangalia series zaidi ya mara moja mbona hii mimi kwangu inanishinda
Nenda ytsNkiri inashida gani? inagoma kushusha mzigo anayeju chimbo lingine anise msaada ili niweze kushusha hata series moja
Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app
Breaking Bad kwangu naiona ipo overrated haina ukali huo ambao watu wanausema.Siku Zikibaki series za mashoga utarudi kuangalia breaking bad upya