Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,233
- 79,760
Kaka achana nae mpuuze kilaza huyo ajui alicho kiandikaHebu zitaje hizo mbovu, au ndo Ume pagawa mzee😂🤣
Kaka achana nae mpuuze kilaza huyo ajui alicho kiandikaHebu zitaje hizo mbovu, au ndo Ume pagawa mzee😂🤣
Mzuri sana yule dada aisee anajua kujitunza japo mkubwa ila anaonekana kama ana miaka 19 vileeIla ana miaka 30 😂😀😀😀, ila kile kify na ka uso ni 🔥🔥
Dada unaijua from kama ujaicheki itafute ina season 2 tu ya 3 inakuja mwakani mwezi 3Naombeni series moja basi chaap
Nitaiangalia mwakaniDada unaijua from kama ujaicheki itafute ina season 2 tu ya 3 inakuja mwakani mwezi 3View attachment 2767526
Hivi hii citadel ndio yupo na Priyanka chopraNitaiangalia mwakani
Sipendi arosto 😂
Hapa nina arosto ya Citadel, Bel Air, Fire country
Icheki dada kalii sana 🔥Nitaiangalia mwakani
Sipendi arosto 😂
Hapa nina arosto ya Citadel, Bel Air, Fire country
Ndio hiyo kakaHivi hii citadel ndio yupo na Priyanka chopra
Yah.Hivi hii citadel ndio yupo na Priyanka chopra
Vip brother Ni kali sanaNdio hiyo kaka
Dada pande zipi izo dada
Kalii sana ukicheki episode ya kwanza tu lazima unogewe kakaVip brother Ni kali sana
The wheel of Time kumbe season 2 tayari.
Ungekuwa karibu dada yangu ningekupa zote hizo ninazo
Mimi sijaona kosa la mshikaji mpaka mfikie maneno kama haya kwakuwa kila mtu ana mapenzi yake na kila mmoja ana kitu ambacho kinamvutia hivyo atazame zilizotafsiriwa ni yeye cha msingi si amecheki maniadjeHuyu anatafutaga mtu atukanane nae tu huyu sio mzima kabisa mshamba sana anaonekana sio mzima wa akili na inaonekana hata series na movie anazo tizama itakuwa za kutafsiriwa na ma dj wa karikoo
Ndio kaka now tupo episode ya 6 ni full uchawi na mapangaThe wheel of Time kumbe season 2 tayari.
Nakubali sana mwanadada moreen aesadai.Ndio kaka now tupo episode ya 6 ni full uchawi na mapanga
Sawa kwa nini aje kutupangia humundani yeye kama naniMimi sijaona kosa la mshikaji mpaka mfikie maneno kama haya kwakuwa kila mtu ana mapenzi yake na kila mmoja ana kitu ambacho kinamvutia hivyo atazame zilizotafsiriwa ni yeye cha msingi si amecheki maniadje
Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app