jisogeze karibu na polisi au karibu na kituo cha huduma ya kwanza,watu walishakunywa viroba,mtatolewa ngeo bureTusiopenda vurugu tushaanza kujisogeza pembeni tayari kwa kusepa manake kuna dalili zote za kuzuka vurugu hapa... jinsi ninavyowasikia watu hapa... ni kama wamejiandaa kufanya fujo akiingia Diamond... kama hujazuka mtiti kati ya haters wa Diamond na mashabiki wake, basi sio mimi!
mhhhh huyu Lord Eyes ni shida aisee ok Weusi naona sasa wanafanya yao hawa ndio wanajua nini maana ya hip hop aisee hapa kumechafuka zile timu zen wekeni pembeni ngoma inayopigwa hapa ni Wawio aliyesuka hii bit naomba kumjua,huyu G nako anasauti flan hivi
watu wengine bhana,hovyo kabisa
Lord eyez hayupo apo
nani sasa kiba au sisi tuliokodiwa
umefuatilia show au viroba vishapanda tayari
umefuatilia show au viroba vishapanda tayari