Aizat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2025
- 239
- 635
"🎵Wivuu ni kidonda ukishiriki utakondaa🎵🎶Kwani kafunga PM yake, maana naona ni nyuzi after uzi.. hamna access ya private message wakuu?
"🎵Wivuu ni kidonda ukishiriki utakondaa🎵🎶Kwani kafunga PM yake, maana naona ni nyuzi after uzi.. hamna access ya private message wakuu?
Sawa katika he's hesabu zako za kumnunulia bytes hakikisha unabkiza na pesa ya biaSina muda huo mambo ni mengi mzee
mkuu,Sawa katika he's hesabu zako za kumnunulia bytes hakikisha unabkiza na pesa ya bia
Sawa endelea kupambania mpandishe juu ya meza tumkuu,
Bia ni muhimu sana budget always lazima uwepo no matter what.
OkMe simuamini mwanamke wa sinza bwashee
Laaziz wangu unamuita kimarioo?Hapa
Hapa daddy ninani Mimi au huyo kimarioo
Kumbe mnatembeaga na tubegi, wavulana bwana😁Sio kweli mtaani anajulikana tu muulize yule bestie ake wanaitana ma BFF wanatembea na vibegi mgongoni
Huna hela wee kaa kushoto!Sawa katika he's hesabu zako za kumnunulia bytes hakikisha unabkiza na pesa ya bia
Sinza ndio anakaa babaako?Me simuamini mwanamke wa sinza bwashee
Hapana buAu umpe offer na yeye babe, anatoa milio sio poa!
Eti eeh😅Muue huyo nyau,
Punguza hasira please 🥺Sinza ndio anakaa babaako?
Acha hasira basi utaniudhiSimjui mtu huyu
Mabandiko haya (hata kama ni utani au changamsha genge) ni lazima yatoke kwenye chemchem ya moyo wako.Ni muandiko tu hakuna lolote! Usitamani kabisa hutoipenda!
Nilikuwa napuuza, ila siku hizi kupitia hawa, watu wanaokota points wanakuja nidhalilisha humu!Punguza hasira please 🥺
Kheee! Kwanini?Acha hasira basi utaniudhi