Seran nakupenda, njoo tuyajenge

Seran nakupenda, njoo tuyajenge

Mabandiko haya (hata kama ni utani au changamsha genge) ni lazima yatoke kwenye chemchem ya moyo wako.
Tofauti na hapo basi uigize, lakini pia huwezi kuigiza kipindi chote hiki...umekuwa Jangala!?
Mzee jangala! Una kumbukumbu!😆

Hapana basi tu lakini haileti picha nzuri
 
😅😅😅😅 red sio wangu mimi ni wa mtu mwingine,,,

eh kwanini mumkomeshe mwenzenu aloooo , mnataka watu wafe kwa presha😂
Hukumuona kwenye uzi wa nyumbu alivyonivaa? Wakawa wanasheherekea na limke lake😒

Kwahiyo humtaki kijana red?🤭 sisi tunataniana tu hapa ujue🙄
 
Hukumuona kwenye uzi wa nyumbu alivyonivaa? Wakawa wanasheherekea na limke lake😒

Kwahiyi humtaki kijana red?🤭 sisi tunataniana tu hapa ujue🙄
nilisoma replay nikacheka na kusikitika kwa pamoja, na leo baada ya kuona uzi nikawa sapraizid liyk hii ni kwelii au mtego 😂😂

huyo ni mdogo wangu upande wa mjomba wake shangazi yake na binam yake bibi mzaa ba mdogo wa mke mdogo kwa babu
 
nilisoma replay nikacheka na kusikitika kwa pamoja, na leo baada ya kuona uzi nikawa sapraizid liyk hii ni kwelii au mtego 😂😂

huyo ni mdogo wangu upande wa mjomba wake shangazi yake na binam yake bibi mzaa ba mdogo wa mke mdogo kwa babu
Utakuwa hukusoma zote!

Sasa mimi Mdogo wangu wa 6 upande wa babu mzaa mume wa dada🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom