Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣Osama bin laden anafichwaga au anajificha?.... Kama unapenda utumbo basi ukija uswahili kwetu hautotukera kama wenzio,wanasemaga what's the hell is this shiiiit! disgusting 🤯wanakeraaa
Hahahahaha..mie nakula hadi kenge ,mbwa huko kwetu hivyo ndio vyakula ila miguu ya kuku hapana..hiyo lugha gani umeongea Rafiki
 
Jina lake maarufu ni RabaMtoni, jina hili limeanza kutumika miaka 90 japo raba tumeanza kuvaa tangu zamani

Mfano hii niliyovaa niliinunua Mwaka 1972 🤗😜
Babu hakika wewe ni mtunzaji mahiri!yaani umenunua raba kabla ya vita vya nduli Idd Amini Dada,Leo nenda kwenye super Feo upokee zawadi ya tumbaku mpya kutoka Namtumbo uvute kwenye Kiko chako
 
Babu hakika wewe ni mtunzaji mahiri!yaani umenunua raba kabla ya vita vya nduli Idd Amini Dada,Leo nenda kwenye super Feo upokee zawadi ya tumbaku mpya kutoka Namtumbo uvute kwenye Kiko chako
Kweli Mjukuu umejua kunipatia hasa kwenye kuniletea hiyo tumbaku 🤗

Umefanya nijitafakari nikuongeze kukupa yale mashamba yangu ya urithi 🤗
 
Wanalunyasi msimu huu mmevurugwa vibayaaa 🤠🤠🤠!

Poleni sanaaaa
Kwa kweli miaka hii miwili (2) tumevurugwa kweli kweli 🙌

Ila mtani hiyo jersey ya Mnyama imekukubali balaa, nitamshawishi Mkwe wangu akushawishi uhamie Msimbazi tu 😜
 
Bado unaenda tena...

Hujasahau kilichomtoa kanga manyoya...
Hapana love leo tulikua na competition wanawake netball na football au unatata uone 🤳🤳🤳🤳🤳nikisakata kabumbu kuitetea Yangaaa uweeeeeeehh😊😊🤠🤠!

Football mi Beki mmoko matata sana nipo hapaaaa mpinzani hakupenyaaaa😁😁😁

💚💛🖤Daima mbeleeeee

💪💪💪
 
Kwa kweli miaka hii miwili (2) tumevurugwa kweli kweli 🙌

Ila mtani hiyo jersey ya Mnyama imekukubali balaa, nitamshawishi Mkwe wangu akushawishi uhamie Msimbazi tu 😜
Jersey ya 5imba nehiiii nehiii mtanii hapo nivile netball ndio jezi rangi zizokuepo😁mbona nusura nikatae kucheza wewe rangi gani za kiganga hizo hapana kwakweli!
 
Jersey ya 5imba nehiiii nehiii babuuu hapo nivile netball ndio jezi rangi zizokuepo😁mbona nusura nikatae kucheza wewe rangi gani za kiganga hizo hapana kwakweli!
Hahaha nyekundu na nyeupe kimpira ni rangi za kimataifa, we uliona wapi timu kubwa ina rangi ya kijani hata hiyo njano yenyewe ni timu nne sijui, ila timu kubwa nyingi rangi zao ni nyekundu na nyeupe na wala hawana hayo mambo ya uganga
 
Hahaha nyekundu na nyeupe kimpira ni rangi za kimataifa, we uliona wapi timu kubwa ina rangi ya kijani hata hiyo njano yenyewe ni timu mbili sijui, ila timu kubwa nyingi rangi zao ni nyekundu na nyeupe na wala hawana hayo mambo ya uganga
😁😁!

Waganga kama waganga wengine tu kweli mganga hajigangi!
 
Jersey ya 5imba nehiiii nehiii mtanii hapo nivile netball ndio jezi rangi zizokuepo😁mbona nusura nikatae kucheza wewe rangi gani za kiganga hizo hapana kwakweli!
Kweli sisi ndiyo wakuwa na jersey rangi ya kiganga😅🙌

Ngoja nimwambie Mkwe aongeze dawa ili uhamie msimbazi moja Kwa Moja 😜
 
Back
Top Bottom