Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 175,468
- 193,440
Bado unaenda tena...Nipo makini sana bossiiiii hahahaha! Ile siku smart weweee 🤠🤭!
Hujasahau kilichomtoa kanga manyoya...
Bado unaenda tena...Nipo makini sana bossiiiii hahahaha! Ile siku smart weweee 🤠🤭!
Hapana love leo tulikua na competition wanawake netball na football au unatata uone 🤳🤳🤳🤳🤳nikisakata kabumbu kuitetea Yangaaa uweeeeeeehh😊😊🤠🤠!Bado unaenda tena...
Hujasahau kilichomtoa kanga manyoya...
Jersey ya 5imba nehiiii nehiii mtanii hapo nivile netball ndio jezi rangi zizokuepo😁mbona nusura nikatae kucheza wewe rangi gani za kiganga hizo hapana kwakweli!Kwa kweli miaka hii miwili (2) tumevurugwa kweli kweli 🙌
Ila mtani hiyo jersey ya Mnyama imekukubali balaa, nitamshawishi Mkwe wangu akushawishi uhamie Msimbazi tu 😜
Hahaha nyekundu na nyeupe kimpira ni rangi za kimataifa, we uliona wapi timu kubwa ina rangi ya kijani hata hiyo njano yenyewe ni timu nne sijui, ila timu kubwa nyingi rangi zao ni nyekundu na nyeupe na wala hawana hayo mambo ya ugangaJersey ya 5imba nehiiii nehiii babuuu hapo nivile netball ndio jezi rangi zizokuepo😁mbona nusura nikatae kucheza wewe rangi gani za kiganga hizo hapana kwakweli!
😁😁!Hahaha nyekundu na nyeupe kimpira ni rangi za kimataifa, we uliona wapi timu kubwa ina rangi ya kijani hata hiyo njano yenyewe ni timu mbili sijui, ila timu kubwa nyingi rangi zao ni nyekundu na nyeupe na wala hawana hayo mambo ya uganga
Jifarijini tu na rangi zenu za maccm😁😁!
Waganga kama waganga wengine tu kweli mganga hajigangi!
Kweli sisi ndiyo wakuwa na jersey rangi ya kiganga😅🙌Jersey ya 5imba nehiiii nehiii mtanii hapo nivile netball ndio jezi rangi zizokuepo😁mbona nusura nikatae kucheza wewe rangi gani za kiganga hizo hapana kwakweli!
💚Given from above hii haihitaji dawa babuuu hahami mtuuu🤠🤠🤠🤠🤠 !Kweli sisi ndiyo wakuwa na jersey rangi ya kiganga😅🙌
Ngoja nimwambie Mkwe aongeze dawa ili uhamie msimbazi moja Kwa Moja 😜
Hahahahaha....kwetu uswazi pindaz boz [ UPB ] ....hiyo lugha kwetu haipo wala hatuijui...ndio maana nimekuuliza wewe uliyeisemaWapi huko kwenu?halafu hili swali Kila siku unalikwepa😂nawasikiaga wakiongea hiyo lugha watoto wanaotoka mtaani kwenu
Nimefurahi kwamba yeye yupo neutral💚Given from above hii haihitaji dawa babuuu hahami mtuuu🤠🤠🤠🤠🤠 !
Mkweo ako vyedi sana kwanza haoneshi kushabikia timuuu yoyote yee kila mechi huitakia ushindi timu Tanzania iwe 💚💪 Ama kolozidadi😁😁!
Shekilango ndowapi tena babu ni zenji anga?????🤔
Shekilango ipo DSM, ni kituo kinachofuata baada ya kutoka Ubungo interchange kama unaelekea Kariakoo kupitia Morogoro roadShekilango ndowapi tena babu ni zenji anga?????🤔