Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Babu hizi ndio zinaitwa raba mtoni au Rosso?
Jina lake maarufu ni RabaMtoni, jina hili limeanza kutumika miaka 90 japo raba tumeanza kuvaa tangu zamani

Mfano hii niliyovaa niliinunua Mwaka 1972 🤗😜
 
🤣Osama bin laden anafichwaga au anajificha?.... Kama unapenda utumbo basi ukija uswahili kwetu hautotukera kama wenzio,wanasemaga what's the hell is this shiiiit! disgusting 🤯wanakeraaa
Hahahahaha..mie nakula hadi kenge ,mbwa huko kwetu hivyo ndio vyakula ila miguu ya kuku hapana..hiyo lugha gani umeongea Rafiki
 
Jina lake maarufu ni RabaMtoni, jina hili limeanza kutumika miaka 90 japo raba tumeanza kuvaa tangu zamani

Mfano hii niliyovaa niliinunua Mwaka 1972 🤗😜
Babu hakika wewe ni mtunzaji mahiri!yaani umenunua raba kabla ya vita vya nduli Idd Amini Dada,Leo nenda kwenye super Feo upokee zawadi ya tumbaku mpya kutoka Namtumbo uvute kwenye Kiko chako
 
Babu hakika wewe ni mtunzaji mahiri!yaani umenunua raba kabla ya vita vya nduli Idd Amini Dada,Leo nenda kwenye super Feo upokee zawadi ya tumbaku mpya kutoka Namtumbo uvute kwenye Kiko chako
Kweli Mjukuu umejua kunipatia hasa kwenye kuniletea hiyo tumbaku 🤗

Umefanya nijitafakari nikuongeze kukupa yale mashamba yangu ya urithi 🤗
 
Wanalunyasi msimu huu mmevurugwa vibayaaa 🤠🤠🤠!

Poleni sanaaaa
Kwa kweli miaka hii miwili (2) tumevurugwa kweli kweli 🙌

Ila mtani hiyo jersey ya Mnyama imekukubali balaa, nitamshawishi Mkwe wangu akushawishi uhamie Msimbazi tu 😜
 
Back
Top Bottom