Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 22,087
- 52,495
🤣🤣🤣🤣🤣Hebu jiandae nikakufundishe miguu ya kuku inaliwaje...Duh...sijawahi kufika huko ..napasikia tu..panafananaje
🤣🤣🤣🤣🤣Hebu jiandae nikakufundishe miguu ya kuku inaliwaje...Duh...sijawahi kufika huko ..napasikia tu..panafananaje
Jina lake maarufu ni RabaMtoni, jina hili limeanza kutumika miaka 90 japo raba tumeanza kuvaa tangu zamaniBabu hizi ndio zinaitwa raba mtoni au Rosso?
Kuwa na imani na Wazee 😜Naona aiseee... 😀 😀 😀 😀
Kuweni na huruma na Wazee 🤗Haha babu anakuletea michezo
Hahahahaha..jana ukapotea ulifichwa mei mosi...miguu huwa sipendi..mie napenda utumbo wa kuku🤣🤣🤣🤣🤣Hebu jiandae nikakufundishe miguu ya kuku inaliwaje...
🤣Osama bin laden anafichwaga au anajificha?.... Kama unapenda utumbo basi ukija uswahili kwetu hautotukera kama wenzio,wanasemaga what's the hell is this shiiiit! disgusting 🤯wanakeraaaHahahahaha..jana ukapotea ulifichwa mei mosi...miguu huwa sipendi..mie napenda utumbo wa kuku
🤣🤣🤣🤣🤣🤣what's the hell is this shiiiit! disgusting 🤯wanakeraaa
Hahahahaha..mie nakula hadi kenge ,mbwa huko kwetu hivyo ndio vyakula ila miguu ya kuku hapana..hiyo lugha gani umeongea Rafiki🤣Osama bin laden anafichwaga au anajificha?.... Kama unapenda utumbo basi ukija uswahili kwetu hautotukera kama wenzio,wanasemaga what's the hell is this shiiiit! disgusting 🤯wanakeraaa
Wapi huko kwenu?halafu hili swali Kila siku unalikwepa😂nawasikiaga wakiongea hiyo lugha watoto wanaotoka mtaani kwenuHahahahaha..mie nakula hadi kenge ,mbwa huko kwetu hivyo ndio vyakula ila miguu ya kuku hapana..hiyo lugha gani umeongea Rafiki
Babu hakika wewe ni mtunzaji mahiri!yaani umenunua raba kabla ya vita vya nduli Idd Amini Dada,Leo nenda kwenye super Feo upokee zawadi ya tumbaku mpya kutoka Namtumbo uvute kwenye Kiko chakoJina lake maarufu ni RabaMtoni, jina hili limeanza kutumika miaka 90 japo raba tumeanza kuvaa tangu zamani
Mfano hii niliyovaa niliinunua Mwaka 1972 🤗😜
AAah wapiiiKuwa na imani na Wazee 😜
Jezi ya mnyama imekupendeza balaa 🤗Michezo ni afya!
Muwe na Siku njema wapendwa
Kweli Mjukuu umejua kunipatia hasa kwenye kuniletea hiyo tumbaku 🤗Babu hakika wewe ni mtunzaji mahiri!yaani umenunua raba kabla ya vita vya nduli Idd Amini Dada,Leo nenda kwenye super Feo upokee zawadi ya tumbaku mpya kutoka Namtumbo uvute kwenye Kiko chako
Kuwa na imani na Wazee Mjukuu, hutaki tukuachie mashamba ya urithi 😜🤗AAah wapiii
Jezi ya mnyama imekupendeza balaa 🤗
Kwa kweli miaka hii miwili (2) tumevurugwa kweli kweli 🙌Wanalunyasi msimu huu mmevurugwa vibayaaa 🤠🤠🤠!
Poleni sanaaaa
Hahaha nakumbuka mambo ya uwanjani...Michezo ni afya!
Muwe na Siku njema wapendwa
Nipo makini sana bossiiiii hahahaha! Ile siku smart weweee 🤠🤭!Hahaha nakumbuka mambo ya uwanjani...
Bado unaenda tena...Nipo makini sana bossiiiii hahahaha! Ile siku smart weweee 🤠🤭!