Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Si nimesikia mmeambiwa na yule Dokta msile sana lakini??😁Sisi tuliozoea kula sana itakuwa ni kama tunaonja Kwa huo msosi 🤗
Si nimesikia mmeambiwa na yule Dokta msile sana lakini??😁Sisi tuliozoea kula sana itakuwa ni kama tunaonja Kwa huo msosi 🤗
Dokta anataka tule kidogo ili tushindwe majukumu yetu ya msingiSi nimesikia mmeambiwa na yule Dokta msile sana lakini??😁
Yaani nimewanunulia baiskeli/ipads Kila mmoja iwa-keep busy lakini haijasidiaNdio raha ya watoto jamani!😁
Wafurahie kabla hawajaingia kwenye u-teenager wakapoteza interest na wewe.
Mi huwa nikisema sasa hivi nafanya kazi usumbufu unakuwepo kidogo tuhevery now and then.
Dokta anawasaidia sana. Wanaoibiwa hawana maana hata kidogo.Dokta anataka tule kidogo ili tushindwe majukumu yetu ya msingi
Haoni Vijana wanavyotuibia Mali zetu 😜🏃🏃🏃
Na tunaoibiwa zaidi ni sisi Wazee 😜🙌Dokta anawasaidia sana. Wanaoibiwa hawana maana hata kidogo.
I love that!! It means they enjoy your company more than material things kwasababu unaitendea haki nafasi yako. Endelea kuwapambania!🤗Yaani nimewanunulia baiskeli/ipads Kila mmoja iwa-keep busy lakini haijasidia
Wao hutaka kuchukua wakati wangu Kwa kutaka kucheza tu 🙌
Huyo wako ni msikivu Kwa kuwa yuko mwenyewe, Mimi wangu ni timu ya Tennis halafu ni wakiume tupu
Kwahiyo wakianza Vurugu zao hadi unachoka aisee 😅
Asante nimekaribia 😋
cheers🍻Asante nimekaribia 😋
Kivipi sasa 😁😁😂😂Wee ndo kule jukwaa la usiku wa manane unasumbua watu
Polee sana babu 🤣😁😁Kweli mmetuokota kweli safari hii 😅🙌
Shukrani Mkuu, hali ikiendelea hivi basi Wazee tutaichukua timu yetu 😜Polee sana babu 🤣😁😁
😁🤣😂😁Shukrani Mkuu, hali ikiendelea hivi basi Wazee tutaichukua timu yetu 😜
Shukrani Mkuu, watoto ni fahari na baraka 🙏I love that!! It means they enjoy your company more than material things kwasababu unaitendea haki nafasi yako. Endelea kuwapambania!🤗
Kuna muda huwa nacheka sana na excuses anazokuja nazo ili tu anisemeshe kidogo nikiwa busy.😁