The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Kuna watu walitaka kutuvurugia thread yenye lengo moja tu, picha.Leo umeamua kuselfika kweli
Kuna watu walitaka kutuvurugia thread yenye lengo moja tu, picha.Leo umeamua kuselfika kweli
Safi kaka,leo umeutendea haki uzi.Hapana, ni kwa vile umeona kipande tu. Mie ukiniona utasema Mwanzilishi wa JF...sema nimemzidi wembamba.
View attachment 2032465
Kweli eeh😊😊.. Upo vizuri mkuu, mie sina shida ya kuvutia mtu mkuu labda hilo la physical maana mental kuna vyakula ukiwa unakula unakuwa powa sanaaMazoezi unakuwa both physically and mentally fit
Hata kwenye mgegedo auhitaji vumbi la Congo,uume inasimama sawasawa,damu inaflow vizuri,mapigo yanaenda vema
Pia ikiwa na mwonekano wa kimazoezi inakuongezea mvuto,skin tone inakuwa unavutia maana vinyweleo vinakuwa vimefunguka muda wote..huna haja na masaji ili kurekebisha ngozi.
Kikubwa kuliko vyote,mazoezi yanakufanya
Kuwa na mwonekano wa kijana muda wote(forever young km Jz),wengi nikiwaambia nakaribia 30 hawaamini,ndy maana financial services na Depal kila siku huniita mtoto
unaona hii form six ilivyonikaa? Fanya mazoezi Baba utakuja kunishukuru👇👇
View attachment 2032422
Ndio mimi mpenzi 😊😊Mr. BMW wewe ndiye kijana wa hovyo hovyo?? Aisee hii id nilivoiona nilicheka
Wameshindwa
sio mkulima Wii, tushamaliza na maandazi yote .Wiii nakuja
Tunasubiri na wewe sasa uutendee haki uzi.Safi kaka,leo umeutendea haki uzi.
sio mkulima Wii, tushamaliza na maandazi yote .
Itabidi dinner sasa ukuje.
Pete nyingi,
Kabisa best Long time kitambo enzi hizo mimi nikiwa kabinti ka hiviView attachment 2032421
SHIMBA YA BUYENZE 6 years ago!
Aisee. Saint Anne upooooo???Hapana, ni kwa vile umeona kipande tu. Mie ukiniona utasema Mwanzilishi wa JF...sema nimemzidi wembamba.
View attachment 2032465
Wameshindwa
Tuendelee na picha.
Kweli leo umeamua kuselfika.
Ngoja niendelee kusave,baadaye niunganishe vipande.
December hii kumbukaTimu nzuri.Mbona wewe huja smile hapo?
Ahaaa,Zangu?Tunasubiri na wewe sasa uutendee haki uzi.
December hii fursa kibao
We kwa timu ile tabasamu kinatoka wapi , mwezi huu; hapo waziri wa nishati anakuja baada ya DecemberDecember hii fursa kibao
Kwani umeona amekana?Umejuaje?
Njoo PM unitonye!