Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapana bhageshi siwezi kujikuta naendelea kuandika hivyo

Nilikuwa najaribu kumuchokoza dada yangu kipenzi mzuri Makiwendo ili nione anavyochukiaga

Kati ya watu ambao huwa nachukia na kukasirishwa na uandishi wa hivyo ni mimi bhageshi

Hahaha....Yoooo abhakima nabatogilwe no nkoi hasa abape
Mmmmmh!!!
Tholehõ... Happy Sabath Ely.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
December hii kumbuka

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app

December inahusiana nini na smile mkuu??

IMG_20211204_125235_679.jpg
 
Lol pole na kuvurugwa best fanya ku relaxx everything gonna be ok . kwakweli nahitaji kupata kaupepo rafiki ukiseto uje unipitie !!
Unaniambia leo nimevurugwaa, mood haipo. Nasema basi nije nikuchukue tutoke upate upepo wa bahari...bwanawee nakapiga sop sop kagari alafu unapotea

View attachment 2032457

Ikabidi niwe mpole tu
 
Back
Top Bottom