Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

M

Timu nzuri.Mbona wewe huja smile hapo?
IMG_20211204_105833_489.jpg


Ahsante, naanzaje ku smile wakati haujanigawia andazi?
 
5 basics of Kung Fu
1.focus
2.control
3.power
4.flexibiliy
5.speed

Wakuu tufanye mazoezi,ndy msingi Bora wa afya zetu.
Mr Kijana wa hovyo hovyo siyo unakula bata Tu ukashindwa kumlinda Depal incase kuna emergency imetokea kwenye harakati zenu za Kula bata ,jitahidi basi hata ujue namna ya kupoozesha punches wakati wa mashambulizi makali

IMG_20211203_210308.jpg
 
5 basics of Kung Fu
1.focus
2.control
3.power
4.flexibiliy
5.speed

Wakuu tufanye mazoezi,ndy msingi Bora wa afya zetu.
Mr Kijana wa hovyo hovyo siyo unakula bata Tu ukashindwa kumlinda Depal incase kuna emergency imetokea kwenye harakati zenu za Kula bata ,jitahidi basi hata ujue namna ya kupoozesha punches wakati wa mashambulizi makali

View attachment 2032392
Dah! Mie cha moto kinanitosha mkuu, umri ungekuwa haujaenda sana ningekuja asee nipashe pashe hiyo hata kwenye game unakuwa mkalii ee
 
Back
Top Bottom