financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,140
- 40,729
Mr. BMW wewe ndiye kijana wa hovyo hovyo?? Aisee hii id nilivoiona nilichekaSijakuona Mrs MBW Kijana wa hovyo hovyo
Mr. BMW wewe ndiye kijana wa hovyo hovyo?? Aisee hii id nilivoiona nilichekaSijakuona Mrs MBW Kijana wa hovyo hovyo
Hahaa haya dear msalimie huyo twinMwanzo nilihisi eti, ila yeye sio mshika macheques 😂
Nimehesabu hazijafika hiyo 951...Mimi ninazo 951 toka uzi umeanza,nina za Mzigua 6,Cadey 5,Anne,3,Lizzy 20,Shunie 18 ,Paula Paul 70,Depal 11 na kuna mmoja kila nikitaka kuzisave zinapotea sijui mchawi.
😂😂😂😂Loh 😲😲😲
Embu tupia yako na mimi nii-save 😌
Kabisa best Long time kitambo enzi hizo mimi nikiwa kabinti ka hiviKama amechukua huyo muongezee na lingine, akila yeye mie naridhika kabisa
View attachment 2032399
Nimefahamiana nae kitambo sana wakati bado nna huo muonekano. Hatujafahamiana nae barabarani...
Mazoezi unakuwa both physically and mentally fitDah! Mie cha moto kinanitosha mkuu, umri ungekuwa haujaenda sana ningekuja asee nipashe pashe hiyo hata kwenye game unakuwa mkalii ee
Ewaa! Dah! Unafanana na Malcom X.
SawaHapana wala hata sielekeani na hiyo picha
KwendraaMazoezi unakuwa both physically and mentally fit
Hata kwenye mgegedo auhitaji vumbi la Congo,uume inasimama sawasawa,damu inaflow vizuri,mapigo yanaenda vema
Pia ikiwa na mwonekano wa kimazoezi inakuongezea mvuto,skin tone inakuwa unavutia maana vinyweleo vinakuwa vimefunguka muda wote..huna haja na masaji ili kurekebisha ngozi.
Kikubwa kuliko vyote,mazoezi yanakufanya
Kuwa na mwonekano wa kijana muda wote(forever young km Jz),wengi nikiwaambia nakaribia 30 hawaamini,ndy maana financial services na Depal kila siku huniita mtoto
unaona hii form six ilivyonikaa? Fanya mazoezi Baba utakuja kunishukuru👇👇
View attachment 2032422
Miaka 21 Kwa maana ya kwamba nimezaliwa mwaka 2000😅..SawaKwendraa
Ukaribie 30?? Unaijua 30 wewe?
Told you ukiwa na mingi sanaaa ni 21.
Bado nasubirizinakuja
Kabisa best Long time kitambo enzi hizo mimi nikiwa kabinti ka hiviView attachment 2032421
SHIMBA YA BUYENZE 6 years ago!
Achia sura kidogoKabisa best Long time kitambo enzi hizo mimi nikiwa kabinti ka hiviView attachment 2032421
SHIMBA YA BUYENZE 6 years ago!
Leo umeamua kuselfika kweli
Mimi ninazo 951 toka uzi umeanza,nina za Mzigua 6,Cadey 5,Anne,3,Lizzy 20,Shunie 18 ,Paula Paul 70,Depal 11 na kuna mmoja kila nikitaka kuzisave zinapotea sijui mchawi.
Ewaa! Dah! Unafanana na Malcom X.
Wiii nakuja