Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
😀😀😀😀😀 na hii ni 13 sijui 14 itakuwaje... mie fogo wapi mkuu wangu.. mie Kijana wa hovyo hovyo .. ushawai kuona fogo anashinda JF nipo hapo chuo cha ustawi wa jamii nakul shuleDaah sema camera za iphone macho matatu ni konyo kwa kweli, yaani kitu crystal clear. Ningekuwa sikufahamu kama wewe ni fogo ningesema huyo siyo wewe umechukua picha ya mtu mwingine, si unatujua tena wabongo mtu akiwa hana analazimisha wote wawe hawana kama yeye.