Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 177,723
- 1,074,294
Tuliokuwa hatuelewi somo la Hisabati tukutane hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende kazi
Hahaa!!Tuliokuwa hatuelewi somo la Hisabati tukutane hapa
View attachment 2030861
Am redeeeeeCheka tu. Jiandae kujileftisha
Haha naona unaendeleza harakati zako za kutaka kupunguza attention kutoka kwa 'wale wenzetu' siyo? Sawa kabisa nimekuelewa na kuna wakati ni jambo jema kufanya hivyo!aah! wapi mie ni jobless mpambanaji siku nikipata kibarua huwa napotea jf, michongo imekata tunashinda tu gheto mkuu.. noma tu kimbilio JF tunatoa stress
Aahh wapi! Uzuri si tunaambiwa binadamu tumepewa free will, that we get to make our own choices regarding our destinies, no?kila kitu kinawezekana chini ya jua, hata shetani hakujuaga kama ataingia mkenge
wee usnambie ccHS akiweka picha mimi nahama jf.
Jinsi gani ni jambo lisilowezekana.
mommah watu wamevurugwa, yaan wakiguswa kidg wanaweweseka na LGBT hata hapausiani lol.Mdogo wangu hebu acha kunichekesha. Hebu usibishane bhana tuache tu huu mjadala yasije yakazuka mengine hapa.
Huyu Kijana wa hovyo hovyo wala asikupe taabu sie waarabu wa pemba twajuana kwa vilemba. Najua kabisa alishanielewa ila ananifanyia makusudi tu maana huyu akili zake zinamtosha mwenyewe.
Wala hata cc angu Co lesbooh,Dooh basi itakuwa nami nilikuelewa vibaya. Niliuliza kama yuko kwa ile society nikimaanisha LGBT so ulivyosema yuko huko nikajua ni lesb ndiyo maana nikasema mie siko huko mimi ni kama tom boy fulani tu (kwa maana kwamba siwezi urembo wala kujiweka kisister du) lakini i am straight.
Sioni popote ulipopromote ,naona mlikuwa mkipiga tu stori.mommah watu wamevurugwa, yaan wakiguswa kidg wanaweweseka na LGBT hata hapausiani lol.
mommah usinichekeshe mie, af mbna mie wala sipo ktk matus, na wala siwezi kupigana na mtu kisa jambo hili, ntapingana naye kwa hoja tyuuh, tukishindana ktk maelewano bas kila mtu anashika njia yake, straight ndo huwa wanatoa sana matus, kejeri, mihemkoYeah hata mie nilimaanisha hivyo sema labda itakuwa hakutukuelewana tu! Anyway its better tufunge tu huu mjadala mkuu tusije tukazua ugomvi mkubwa hapa maana ninavyojua hawa watu kuwatoa kwenye hiyo society ni vita kubwa itakayohusisha matusi na hata kupigana endapo mko karibu hivyo huwa naacha tu mtu aamini kile anachoamini!
We endelea kusubiri meli kwenye stand ya daladala.wee usnambie cc
Waambie hao na wanadhan kila Tom girl n gay, kumbe n hormonal imbalance. Ukute hata u gay wenyewe haujui .Ni kweli matom boy hawako kwenye hiyo society, japo kuna watu wanaamini kuwa mtu ukiwa tu tom boy basi wewe ni lesbian kitu ambacho si kweli. Kuwa tom boy haihusiani na sexual orientation ya mtu, hiyo it's all about mwanamke kuwa na muonekano wa kiume na baadhi ya tabia za kiume lakini wapo matom boy ambao wanagegedwa kama kawaida tu.
Mara paap Mama Mchungaji kaselfika; ni kweli utatimiza ahadi hii? Kwa muda gani?HS akiweka picha mimi nahama jf.
Jinsi gani ni jambo lisilowezekana.
Naleft mazima.Mara paap Mama Mchungaji kaselfika; ni kweli utatimiza ahadi hii? Kwa muda gani?
Sure mkuu sema ni vile wabongo tushakariri ila kiuhalisia lesbian aweza kuwa yeyote yule (tom boy au sister du), nimekuja gundua kuwa appearance au lifestyle ya mtu haidetermine sexual orientation yake. So naweza nikasema siyo kila tom boy ni lesbian, na siyo kila sister du ni straight.
Na tangu nimegundua hilo nimeacha pia kujudge wanaume tunaodhani kuwa ni mashoga eti sababu tu wana muonekano wa kike, kumbe wengine ni marijali na wanachakata vizuri tu. Na nasikia siku hizi wanaume wanaoongoza kwa ushoga ni hawa wenye mamisuli, wanaonyanyua mavyuma kila siku.
Binafsi nimeshatongozwa na wanawake wenzangu ambao ni masister du kabisa yaani huwadhanii, huwa nashangaa sasa huyu anataka tukifika kitandani tukafanye nini yaani. Wakati huo huo nina marafiki zangu matomboy ila wanachakatwa vizuri tu, na hawataki hata kusikia kuhusu habari za usagaji.
Mama malezi tafadhari, weka picha yako hapa.Zamu yetu wamama kujipost bado, ngoja mabinti wamalize kwanza
Bila shaka amekukuna kunako mwasho
Huu n mtori, nyama ziko chini.
DJ waleteeeeeeh
Ngoja sasa nianzishe kampeni ya Wanyaki wote mjumuike hapa tupambane mpaka Mama Mchungaji aselfike. Sema sasa shida itakuwa wewe kuondoka JF. Hilo halitawezekana. JF bila Saint Anne haitanoga wala. Labda useme utapumzika JF kwa wiki mbili hivi lakini siyo mazima. Mazima haiwezekani!Naleft mazima.