cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,650
- 137,370
Mie ukinipa wala sichukui, sipendi kupewa yaan labda ninunue.Napenda wewe nikikupa huchukui
Mie ukinipa wala sichukui, sipendi kupewa yaan labda ninunue.Napenda wewe nikikupa huchukui
Basi we ni mchoyo/mbinafsi maana mtu ambaye akipewa anakataa basi ni ili na yeye akiombwa akataeMie ukinipa wala sichukui, sipendi kupewa yaan labda ninunue.
Bado...tukikaribia kurudi nitakupigia simu uje kunipokea bandarini maana nitakuwa nimebeba kapu la wapembawapemba wameniteka
Baa za Uswazi. Subwoofer mchina full mziki. Good
Me sio mchoyo wala mbinafsi, ila sipendi kupewa.Basi we ni mchoyo/mbinafsi maana mtu ambaye akipewa anakataa basi ni ili na yeye akiombwa akatae
Na wewe hiyo haikupendezei kabisa
'Mwanangu nitafutie mtoto mkali wa chuo"
Me sio mchoyo wala mbinafsi, ila sipendi kupewa.
Rudi hapa wee mpareeh
Kwahyo wewe unatoa ila kupewa hutaki?Rudi hapa wee mpareeh
Mie mtoaji mzuri, ila sitaki kupewa,Kwahyo wewe unatoa ila kupewa hutaki?
Duuh sasa itakuwajeMie mtoaji mzuri, ila sitaki kupewa,
Ndo hapo sasa, itaeleweka tyuuuh.Duuh sasa itakuwaje
Ndo hapo sasa, itaeleweka tyuuuh.