Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,511
- 235,218
Dom kuzuriDar hamna laana,Laana Iko Dodoma,..Isanga gereza la kunyonga watu,Milembe hospital ya vichaa,Ukame....Dar changamoto ndogondogo tu wajameni😁
Kwanza hakunaga mvua kubwa sana
Sikujua kumbe Dom kuna gereza la kunyongea watu💔
Kweli Dsm watu wake walishazoea mateso
Tunaolialia ni sisi wa mikoani😂