Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
Yaani Kenya wenyewe hawana ma lecturers mpaka waagize nje😄Nani ataenda nami?View attachment 1673849
Tz ya uchumi wa kati yazidi kung'ara
Yaani Kenya wenyewe hawana ma lecturers mpaka waagize nje😄Nani ataenda nami?View attachment 1673849
Yeaaaah ni hivo dear, upo sahihi kabisa.Hivi astashahada si ndio certificate halafu stashahada ni diploma au nachanganya madesa!
Ndo maan huwa sipendi vya kupewa, najza kabisaa huwa sio bure lazima malipo.Sikupi BURE loh...![]()







Mommy naomba kidogo mie njaa inauma.
Jeans ako ni nzuri
Yaani acha kabisa.Leo january 11.1.1
Kesho jan 11.1.2![]()
Yaani acha kabisa.
Sitaki kuamini muda wote huo uliopita tangu tumevuka Mwaka eti Leo ni tar 11 tu!
Shkamoo JanuaryUtaamini tu ikifika tarehe 12

Unatoa nini?sasa ni babu, sitaki vya kupewa me, bora niwe mtoaji tyuuh.
Hahaha nilivyoona umesema unatoa nikataka kujua unatoa nini ili na mimi niombe nipewe chochote kituNatoa shuhuda mbali mbali, wee mpare hutak kupitwa lol![]()