Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Lini utapunguza kunywa?
Ukisema niache naacha mchumbaLini utapunguza kunywa?

Ndiyo tunarudi Dar eh
AsanteJeans ako ni nzuri
Bado...tukikaribia kurudi nitakupigia simu uje kunipokea bandarini maana nitakuwa nimebeba kapu la wapemba😆😆😆wapemba wamenitekaNdiyo tunarudi Dar eh
Hahahaha!huyu mbona kama mimi kabisaView attachment 1675323
Hahahaha!
Dahh! Kweli Kuna ufanano fulani hiviiau nasema uongo ndugu yangu![]()
Heeeh kumbe unapenda vya kupewa eti? Puliiiiiiiiz acha hiyo tabia utakuja haribikiwa ooooh.Hahaha nilivyoona umesema unatoa nikataka kujua unatoa nini ili na mimi niombe nipewe chochote kitu






Napenda, wewe nikikupa huchukuiHeeeh kumbe unapenda vya kupewa eti? Puliiiiiiiiz acha hiyo tabia utakuja haribikiwa ooooh.
Natania tyuuuh.
Kipendhiiiiiiiiih uwage unanchukua bas na wee. Mmmh unakula raha peke yako lol.
SawaAsante