cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,815
- 137,540
Ouk sawaaaah ccHadi nizitafute.
Mwambie Billdrago akutag
Ouk sawaaaah ccHadi nizitafute.
Mwambie Billdrago akutag
sasa jaman kwan uongo? Aaaah wee phys asingepat 99, ukweli ndo huo.Yah
Sasa mtoa mada alisema Kihombo ndiye the Best of the best ,jamaa akaja akasema the best T.O ni chegere,alipata 99 ya maths wakati Kihombo alikuwa na 98..ndio jamaa mwingine akaja kujibu kwamba huyo chegere wako 99 ya phy hapati
Ndani ya ndinga eeeh,Tukuyu ya kijaniView attachment 1667847View attachment 1667852
Mkuu huo mwaka ulikuwa mwaka wa ngapi na ulikuwa course ganiudom 2009.....View attachment 1667878
UmejuajeRaia wa coed
ulipiga ngapi?Mwaka jana Chem ilikua ni hatareeh na nusu, inshaallah matokeo yalivotoka ilikua swafi swafi.
mkuu nilikua first year......nilikua ujasi kule courSE bachelor of EDUCATION in early childhoodMkuu huo mwaka ulikuwa mwaka wa ngapi na ulikuwa course gani
umeangalia room...Raia wa coed
dah umenikumbusha mbali mno "wajasi" Mimi 2010 ndio nlikua naanza pale social sciencemkuu nilikua first year......nilikua ujasi kule courSE bachelor of EDUCATION in early childhood
Yaani huo mwaka ndiyo ulikuwa umeanza first year au ndiyo ulikuwa unaendelea na first year? Kumbe wewe ni mwalimu?mkuu nilikua first year......nilikua ujasi kule courSE bachelor of EDUCATION in early childhood
Hata sasa ni kutamu mkuuumeangalia room...
hahaah pipo za social utazijua tuu kwa room zao
sema social kulikuaga kutamu sana
niko form fivedah umenikumbusha mbali mno "wajasi" Mimi 2010 ndio nlikua naanza pale social science
wa education tulikua tunakuja sana social kwenye vi party party......walikua wanaleta sana wasanii kuleHata sasa ni kutamu mkuu
ok poa ALUMNI tulikua tunakula Sana bia pale cafeteria ya MML 😃😃😃 hapo mzazi anajua bum ni hela ndogo so anakupiga mpunga mwingineniko form five
mimi nimeanza 2012 nikamaliza 15......
Si kweli, tumesoma wote Shule ya msingi hapo Mbeya na tumemaliza mwaka 1990. Wewe utakuwa na miaka kama 49 hivi. Unamkumbuka Mwalimu mkuu Tuntufye Mwakanosa?Ni 34
🤣🤣🤣Si kweli, tumesoma wote Shule ya msingi hapo Mbeya na tumemaliza mwaka 1990. Wewe utakuwa na miaka kama 49 hivi. Unamkumbuka Mwalimu mkuu Tuntufye Mwakanosa?
Uwe unatupa shikamoo
hahahahha mmekula maisha bro....wengine hela ya boom wazaz walikua wanasema tuwape na waook poa ALUMNI tulikua tunakula Sana bia pale cafeteria ya MML hapo mzazi anajua bum ni hela ndogo so anakupiga mpunga mwingine