Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni Martin chegere, Nae sifa zake tulizisikia pale shule, alikua nondo haswaaaah.
Yah
Sasa mtoa mada alisema Kihombo ndiye the Best of the best ,jamaa akaja akasema the best T.O ni chegere,alipata 99 ya maths wakati Kihombo alikuwa na 98..ndio jamaa mwingine akaja kujibu kwamba huyo chegere wako 99 ya phy hapati
 
Magharibi imeingia pande zetu
FB_IMG_1609747535353.jpg
 
Back
Top Bottom