Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Wenzio wanasema mtihani wa form 2Halafu sasa kwenye matokeo hiyo Bios imewaangusha wengi mnooh. Mwaka jana
Hizo hoja nyingine hawakuzisikiza

Wenzio wanasema mtihani wa form 2Halafu sasa kwenye matokeo hiyo Bios imewaangusha wengi mnooh. Mwaka jana

mbona umechelewa Sana kujibu nilipita kitamboo npo pandahill secondary unakujuaNipo nanenane
Hadi nizitafute.Hebu unitag kwenye hizo nyuzi nijionee bas cc,
YahNi Martin chegere, Nae sifa zake tulizisikia pale shule, alikua nondo haswaaaah.





sijui kutag angesearch tu Elias kihombo TO inakuja chapHadi nizitafute.
Mwambie Billdrago akutag
Unafanya nini PH??mbona umechelewa Sana kujibu nilipita kitamboo npo pandahill secondary unakujua
sijui kutag angesearch tu Elias kihombo TO inakuja chap







@ afu unaandika jina lake Sasa.unarudi lini? Nimekuja mchek mgonjwa rafiki yangu ni mwalimu hukuUnafanya nini PH??
Nakufahamu vizuri.. nimeishi Sana huko Songwe kipindi sisy anafundisha hapo.
Utanipa nikirudi .
@Saint Anne mbona Kama inagoma au uzee huu
Andika hii alama@ afu unaandika jina lake Sasa.
Hebu jaribu tuone.
Bado sijajua ila ni siku chache tuunarudi lini? Nimekuja mchek mgonjwa rafiki yangu ni mwalimu huku
HahahahahahaHahahaha, mkuu mie niwe mkweli shule sikwenda ,kishandu tu wa mtaani ,kizungu tabu
hahahahhahah hahaha simara ukamanya kinyaki
nimeona shida unayopata hahahha....unaunganisha sentensi hahahhaha ha ha ha najitahidi lakini nakisikia ila kujibu na kuongea ndo kasheshe
ulifika salama pambwani??ha ha ha ha najitahidi lakini nakisikia ila kujibu na kuongea ndo kasheshe
Hahahaha, unacheka unawajua VISHANDU wewe, mtoto wa kishua ?Hahahahahaha