Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mwaka uliomaliza naona ajira haikua changamoto...mimi nimemaliza 2015

nimesota balaa

mimi nilimaliza 2014 nikawa nachagua sehemu za kufanyia kazi kuna mtu akanitonya Kikwete kauli mbiu yake ni ajira kwa Vijana, unajua anaekuja anakuja ana msimamo gani? utasota ufee

nikapata kazi Oct 2015, huwa namshukuru saba yule mtu sababu niliokua nachagua nao wawili mpaka leo hawajapata.
 
Tupia basi ,niamke vzr Rafiki kipenzi
246C5C12-88B4-43A1-9B6E-97641225764D.jpeg

😅😅Leo nimekuja kiushuhuda kipenzi changu
 
mimi nilimaliza 2014 nikawa nachagua sehemu za kufanyia kazi kuna mtu akanitonya Kikwete kauli mbiu yake ni ajira kwa Vijana, unajua anaekuja anakuja ana msimamo gani? utasota ufee

nikapata kazi Oct 2015, huwa namshukuru saba yule mtu sababu niliokua nachagua nao wawili mpaka leo hawajapata.
hongera sana kalumbu.....wakati unamaliza nilikua seco year
..
.
ulicheza sana....sisi wa 2015 mpaka leo tunafanya kinyume na degree zetu

ulisoma course gani??
 
Back
Top Bottom