cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169






nyie nacheka ile scene,





nyie nacheka ile scene,Ipo mkuu tena tuna shortage ya walimu wa sayansi Wengi wamehama zao. karibu sanaa baba pastaHakuna nafasi ya kufundisha Biology nije nichape mapindi hapo 😛😛😛
Umeshanichanganya akili yangu kabsa
Emu tuone ulivyochanganyikiwa..Umeshanichanganya akili yangu kabsa
Sasa hivi kahamia team Sophy. Eti Sophy nenepa kama mke wa pili 😁😁nyie nacheka ile scene,
Ibada njema…Ngoja niingie kwa masjid Kwanza nitarud kwa ajili yako
Bado tunasherekea Pasaka so nyama kama kawa tunazila😋Ijumaa kuu hatuli nyamaa 😕😕😕
Njoo uchukue 😂😂😂😂 saa nne na saa tano😂😂😂 ninunulie shogaa
Weee nitakua nakitumia kuangali BSS, utakua umefanya jambo la msing sana
Sasa mipaka ikizidi wanaogopa had somo lako.Wee shos wanafunzi wajinga sana ujuee ni vizuri kuweka mipaka !!









😃😃 Nije nifundishe bible knowledge na Biology wacha nifanye kuomba kwa kuandika application letter au nije kuonana na Headmaster tuIpo mkuu tena tuna shortage ya walimu wa sayansi Wengi wamehama zao. karibu sanaa baba pasta
Utanenepa ushindwe kufaidi mengine.. Punguza kula 😀😀Bado tunasherekea Pasaka so nyama kama kawa tunazila😋
Hapana tunawa discipline kidogo wakae kwenye mstariSasa mipaka ikizidi wanaogopa had somo lako.![]()
Ile familia ni 🙌🙌🙌Azam Tv burudani kwa wote.
Kombolela hoyeeeee!!! Mwadawa, tukae, govinda.
Bi kikala. Kobisi, chollo,
Napenda maisha ya vile, yaan ningekulia maisha ya vile ninge enjoy sana.
Napenda heka heka za kiswazi. Uwiiiiiii
😂😂😂Una macho ya kimahaba midomo ya kiss kope za mitego shingo ya kupiga love bite miguu ya kuendea royal tour![]()
Sasa hivi kahamia team Sophy. Eti Sophy nenepa kama mke wa pili![]()






yule ni mwehu, alinichamba siku hiyo chimbo sina hamu nae kabisa na ujuaji wangu wote kwake nimenyoosha mikono. Unanifanya nitamani kuwa muigizaji wallahIle familia ni![]()




Njoo kwa Hm tu tena Waislamu wao wana EDK - Elimu Ya Dini ya Kiislam ila bible knowledge hakuna karibu sana!😃😃 Nije nifundishe bible knowledge na Biology wacha nifanye kuomba kwa kuandika application letter au nije kuonana na Headmaster tu
Mie ndo hata sielewi mnachozungumzia ngoja nikasome huo ubuyu kwanza niokotemo mawili matatu!😂😂🤣Unanifanya nitamani kuwa muigizaji wallah
Tena ndo tamthilia ile, ningeua mbayaaa.![]()
Soap operas ukishaanza kuzifatilia, kuacha sio rahisi.Ooh yeah
Napenda soap operas kwa hiyo hapo wamenidaka