Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyimbo inasikitisha sana hiyo daah
Nipo hapa naisililiza plus chorous Q-Chief alifanya vizuri sana, nafikiri ni wimbo wangu wa leo siku nzima najifunza vitu vingii.. the issue kubwaaa hapa najifunzaa

Tunatakiwa kuishi kwa real love ( Agape kindo of love ) inaonesha dunia haina upando.. ukiachana na yoote wanasema Let love lead.. nimekumbuka kuna mtoto mmoja tulikuwa nae chuo alipo gundulika ameathirika alishuka sana ki performance sad story mbayaa🥹🥹
 
Heee nilisahau utumbo😋😋

Ila Orchid wako vizuri, wanajitahidi kutupa vitu vitamu kwa bei chee watu wa uswazi😅
😀😀😀 eeeh ndio maana pazuri watu tunajaaaa asubuhi inakuta na supu ya utumbo wa kukuu na miguu yake yaani hiii .. jioni nakuwekea kabisa siti yako mapemaaa maana mie ndio naenda hapo sasa hivi nimeisha maliza kupiga debe
 
4C6E00F1-CC3C-4605-B4C0-8D55C8A71EC9.jpeg

Video zake huwa zinavunja mbavu zangu😂😂😂
 
😅😅😅😅😅😅 na hii ndio njia sahihi sasa mwalobaini wa tatizo umepatikana
Pm zitafunguka na mbingu zitafogoka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nipo hapa naisililiza plus chorous Q-Chief alifanya vizuri sana, nafikiri ni wimbo wangu wa leo siku nzima najifunza vitu vingii.. the issue kubwaaa hapa najifunzaa

Tunatakiwa kuishi kwa real love ( Agape kindo of love ) inaonesha dunia haina upando.. ukiachana na yoote wanasema Let love lead.. nimekumbuka kuna mtoto mmoja tulikuwa nae chuo alipo gundulika ameathirika alishuka sana ki performance sad story mbayaa🥹🥹
Upendo ndio kila kitu na tusipende kutamkia wenzetu wenye changamoto maneno mabaya hatujui yatawaathiri kiasi gani.

Same kwa hao wagonjwa, kama wewe ni mzima basi usiwatenge, uwatendee yaliyo mema since hamna aliyependa kuumwa
 
Kwa kweli ukiwa na ugonjwa huu ni mtihani wengi wana kufa kwa mawazo
Ni mtihani kwasababu jamii bado ina angalia kwamba mtu kaupata kwasababu alikuwa mzinzi au muasherati, ingawa kwa asilimia kubwa maambukizi husambaa kwa njia hiyo. Ila pia jamii inakosa upendo na kufanya muhanga kuanza kuathirika kisaikolojia na kufanya umauti au afya yake inyong'onyee kwa haraka sanaaa. Tunahitaji Elimu, Tunahitaji upendo, Tunahitaji ukalimu tuna Muhitaji Mungu sana na zaidi, Tunahitaji hofu ya Mungu.
 
Back
Top Bottom