cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Mtaani hunipendi kipenzi, wala sio nyara ya serikali hadi wakiwa na usajiri wa chuo![]()






wameshakua wa mtaani, yaan fursa hiyo ushindwee wee tyuuh.Mtaani hunipendi kipenzi, wala sio nyara ya serikali hadi wakiwa na usajiri wa chuo![]()






wameshakua wa mtaani, yaan fursa hiyo ushindwee wee tyuuh.Yes saivi unyanyapaa umepungua + huduma zimeboreshwa hata huwez kumtambua mgonjwa kwa kumtizama.🥹🥹🥹 nikiendelea sikiliza huu wimbo nimerudi nyuma miaka mingi picha inakuja waathirika walivyokuwa wana nyanyapaliwa na kufanya hata wafe mapema kabla ya wakati wake. Mungu mwema sasa hivi unyanyaapaa umepungu sanaa, ila naona Nuzulati kanitengaa vibaya sijui anahisi hata nikichart nae namuambikizaaa 🥹🥹🥹
Kaa kwa kutuliaWee kaka bila kunitaja huridhiki eeeeh? Unawashwa sana ukiniona? Sio wa mfano ktk mambo yenu, tuheshimiane samahani sana, tena kuwa na adabu na uishikilie.
Nijie taratibuuu, huo mwendo sio wenyewe, utaharibikiwa bureee.
Umekosa wa kutolea mfano eeeeh? Sijaamka na wee leo na sihitaji kuamka nawee.
Heshima ifuate mkondo wake. Msieeeeeeew
lol ndio maana sielewi kitu




bas kuwa buzzy na mambo mengine unayo yaelewa.😅😅😅 kijiwe njoo Orchid jioni au asubuhiKijiwe chako kiko wapi, nikuje kukusapraiz😛
😂😂😂Mmm.. alitoa taulo na mswali ile asubuhi alafu perfume uliyokuwa unanukia wewe na yeye akawa ananukia hiyo hiyoo au mie sielewi tuu 🫠🫠🫠
aaah! Ndio maana .. alisinzia kweli kazini basi sawa nimeelewaa 🥹🥹😂😂😂
Ngoja nimalize ugali 😂
Wakukufunika shuka si huyo aliyekupa kagonjwa🤷🏼♀️Nakwenda hospital watu wana nitazama, nashindwa kutembea manesi wananitukana, mwili wangu wote unanuka ni nani hata wa kunifunika shukaa 🥹🥹🥹
🤣🤣🤣🤣😅😅😅 kijiwe njoo Orchid jioni au asubuhi
😃😃😃😃 mmmmh ... mvumilivu hula mbivu wacha nisubiri kipindi cha usajiriwameshakua wa mtaani, yaan fursa hiyo ushindwee wee tyuuh.
😅😅😅 Huko huko karibu na kwako kona ya kwanza kona ya pili unafika hupajui kwelii 😎😎 wanauza vitumbua na kashata🤣🤣🤣🤣
Sipajui huko, napanda daladala la kwenda wap
Wee ndo ukitulize unae washwaa washwa, hujistukii lol.Kaa kwa kutulia
Simba mkali lakini anapakatwa
Tena anazalishwa
Wewe kitu gani
Kitulize hapo
Huu ubaya unaonipa 🤷🏼♀️🥹🥹🥹 nikiendelea sikiliza huu wimbo nimerudi nyuma miaka mingi picha inakuja waathirika walivyokuwa wana nyanyapaliwa na kufanya hata wafe mapema kabla ya wakati wake. Mungu mwema sasa hivi unyanyaapaa umepungu sanaa, ila naona Nuzulati kanitengaa vibaya sijui anahisi hata nikichart nae namuambikizaaa 🥹🥹🥹
Bas poaaaa, haina kwereee.mmmmh ... mvumilivu hula mbivu wacha nisubiri kipindi cha usajiri





🥹🥹🥹 Sijui nani alinipeaa sasaaaWakukufunika shuka si huyo aliyekupa kagonjwa🤷🏼♀️
🥹🥹🥹🥹🥹Huu ubaya unaonipa 🤷🏼♀️
Vile emoj haujawawekea leo uko mkuuNshainyakaaa, sema ep ya jana codes nyepesi sanaaa.
Yoga ana balaa zito. Mweeeeh
Aah si ndio pale kwa nje wameeka beseni la miguu ya kuku😋😅😅😅 Huko huko karibu na kwako kona ya kwanza kona ya pili unafika hupajui kwelii 😎😎 wanauza vitumbua na kashata
😃😃😃 ewaaa kumbe unapajuaaa kabisaa hapo hapo wakuandalie miguu au shingo za kuku ngapiAah si ndio pale kwa nje wameeka beseni la miguu ya kuku😋
Jioni ndio muda mzuri baada ya mihangaiko nitakuja hapo, nikukute sasa