Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🥹🥹🥹 nikiendelea sikiliza huu wimbo nimerudi nyuma miaka mingi picha inakuja waathirika walivyokuwa wana nyanyapaliwa na kufanya hata wafe mapema kabla ya wakati wake. Mungu mwema sasa hivi unyanyaapaa umepungu sanaa, ila naona Nuzulati kanitengaa vibaya sijui anahisi hata nikichart nae namuambikizaaa 🥹🥹🥹
Yes saivi unyanyapaa umepungua + huduma zimeboreshwa hata huwez kumtambua mgonjwa kwa kumtizama.

But still kujilinda muhimu kwa wenye nao na wasio nao wote tuna wajibu wa kulinda afya zetu
 
Wee kaka bila kunitaja huridhiki eeeeh? Unawashwa sana ukiniona? Sio wa mfano ktk mambo yenu, tuheshimiane samahani sana, tena kuwa na adabu na uishikilie.

Nijie taratibuuu, huo mwendo sio wenyewe, utaharibikiwa bureee.
Umekosa wa kutolea mfano eeeeh? Sijaamka na wee leo na sihitaji kuamka nawee.

Heshima ifuate mkondo wake. Msieeeeeeew
Kaa kwa kutulia

Simba mkali lakini anapakatwa

Tena anazalishwa

Wewe kitu gani

Kitulize hapo
 
🥹🥹🥹 nikiendelea sikiliza huu wimbo nimerudi nyuma miaka mingi picha inakuja waathirika walivyokuwa wana nyanyapaliwa na kufanya hata wafe mapema kabla ya wakati wake. Mungu mwema sasa hivi unyanyaapaa umepungu sanaa, ila naona Nuzulati kanitengaa vibaya sijui anahisi hata nikichart nae namuambikizaaa 🥹🥹🥹
Huu ubaya unaonipa 🤷🏼‍♀️
 
Back
Top Bottom