Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
😍😍😍 jomonii kama hunioni baba mtumishiNshainyakaaa, sema ep ya jana codes nyepesi sanaaa.
Yoga ana balaa zito. Mweeeeh
😍😍😍 jomonii kama hunioni baba mtumishiNshainyakaaa, sema ep ya jana codes nyepesi sanaaa.
Yoga ana balaa zito. Mweeeeh
Sipikiagi wageni wangu ugali, labda waseme ndio nitawapikia😃😅😅😅 Pig anakula hadi mchanga sasaaa .. mbona siku ile tukiwa na spidernyoka hatukukuta ugari tulikua tambi tambi na mayai...
Nakwenda hospital watu wana nitazama, nashindwa kutembea manesi wananitukana, mwili wangu wote unanuka ni nani hata wa kunifunika shukaa 🥹🥹🥹Kwa nini nikutenge mkuu sina sababu ya kufanya hivyo kwenye mlo wako matunda yasikose kuimalisha kinga ya mwili🤷🏼♀️
Baba mtumishi uko buzzy sana,. Sasa mie nabalance shobo dundo zangu, Kuambiwa naneng'eneka akuuuuuh.jomonii kama hunioni baba mtumishi





Halafu ni fupi sana!Nshainyakaaa, sema ep ya jana codes nyepesi sanaaa.
Yoga ana balaa zito. Mweeeeh
Kijiwe chako kiko wapi, nikuje kukusapraiz😛😅😅😅😅😅 Unaenda kula wapi nisije kuwa mie ndio mchomaji nikuandalie nyamaa nzuriii
😀😀😀 mbona mie hukunipa chakula ulimpa tu spidernyoka alafu mie mbona uli nilaza chini mwenzangu sijui alilala wapi 😬😬😬Sipikiagi wageni wangu ugali, labda waseme ndio nitawapikia😃
Naashum wanakula sana majumbani mwao so wakija kwangu ni mwendo wa misosi mingine no ugali
Komaa ndio maisha😛Nakwenda hospital watu wana nitazama, nashindwa kutembea manesi wananitukana, mwili wangu wote unanuka ni nani hata wa kunifunika shukaa 🥹🥹🥹
Niko poa kipenzi , kitoto cha Mungu upendwaye .. Namshukuru Mungu tyuuu maana yu mwema kila wakati 😍😍😍 first year wanaingia lini kipenziBaba mtumishi uko buzzy sana,. Sasa mie nabalance shobo dundo zangu, Kuambiwa naneng'eneka akuuuuuh.
Hope uko poaaa lakini.![]()
Naye alilala chini mbona, tatizo ulisinzia mapema hukumuona😂😂😀😀😀 mbona mie hukunipa chakula ulimpa tu spidernyoka alafu mie mbona uli nilaza chini mwenzangu sijui alilala wapi 😬😬😬
Yaan nimeshangaa fupi mnooo. Khaaaah ametuacha na kiu kubwa sana.Halafu ni fupi sana!
🥹🥹🥹 nikiendelea sikiliza huu wimbo nimerudi nyuma miaka mingi picha inakuja waathirika walivyokuwa wana nyanyapaliwa na kufanya hata wafe mapema kabla ya wakati wake. Mungu mwema sasa hivi unyanyaapaa umepungu sanaa, ila naona Nuzulati kanitengaa vibaya sijui anahisi hata nikichart nae namuambikizaaa 🥹🥹🥹Komaa ndio maisha😛
Niko poa kipenzi , kitoto cha Mungu upendwaye .. Namshukuru Mungu tyuuu maana yu mwema kila wakatifirst year wanaingia lini kipenzi






festi hiya hadi octoba mwishoni.Mmm.. alitoa taulo na mswali ile asubuhi alafu perfume uliyokuwa unanukia wewe na yeye akawa ananukia hiyo hiyoo au mie sielewi tuu 🫠🫠🫠Naye alilala chini mbona, tatizo ulisinzia mapema hukumuona😂😂
Hiii mbali sana jomoooni 😎😎festi hiya hadi octoba mwishoni.
hii mnajadili logarithm au trigonometry 🥹🥹Yaan nimeshangaa fupi mnooo. Khaaaah ametuacha na kiu kubwa sana.
Anza nao huko huko mtaani, kwanini uchelewe kutafuna na akati meno ipo?Hiii mbali sana jomoooni![]()






Mtaani hunipendi kipenzi, wala sio nyara ya serikali hadi wakiwa na usajiri wa chuo 😅😅😅Anza nao huko huko mtaani, kwanini uchelewe kutafuna na akati meno ipo?![]()
Algebra.hii mnajadili logarithm au trigonometry 🥹🥹
😅😅😅😅 lol ndio maana sielewi kituAlgebra.